Msanii wa Filamu "Adam Philip Kuambiana" afariki dunia

MT255

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2012
Posts
3,606
Reaction score
4,914
Mwigizaji na muongozaji wa filamu hapa Tanzania ADAM PHILIP KUAMBIANA amefariki Dunia muda huu muda sio mrefu nitarudi baadae kwa Habari zaidi ....





 

Attachments

  • 1400314778246.jpg
    41.2 KB · Views: 21,884
Ni kweli amefariki maiti ipo hospital kwa Dr ngoma
 
R.I.P Adam,
Kwa hakika kila nafsi ita-onja mauti!
 
Ah!!
R.I.P Adam.
Kila nafsi itaonja kifo.
 
rip nimeona instagram kwa zamaradi na martin.
 
Eleza vizuri ajali ilikuwaje maana sinza? Ameangukiwa na kontena au? Kama over speeding sinza?? Au alikuwa kelolo? Rip
 
Habari ambazo hazijathibitisha zinasema kwamba, kafariki leo asubihi kwa ajali Sinza, mwili upo hospitali ya mama Ngoma mwenge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…