Mi naomba kujua km kuna chanel yoyote inayoonyesha hbr kuhusu msiba huu.ahsanteni
Dah adamu katutoka. Polen familia, polen jerusalem film hasa jb, polen wasanii wote na watz wote. Bwana ametoa na ....
Ya jamaa alikuwa jembe sana kwenye kampuni ya jerusalem, nazikumbuka sana movie zake kuanzia FAKE PASTORS,DANIJA,MR KADAMANJA,MIKONO SANA,ULIYEMCHOKOZA KAJA na movie nyingine kibao, jamaa alikuwa jembe sana
Huyu bwana si ndie alicheza picha na Ray inaitwa fake pastors? Au naona kwa makengeza? Kama ndie alikuwa muigizaji mzuri tena sana. Tasnia ya filamu imepoteza mtu makini na muhimu.
nimesikia alifunga ndoa na JANETH RITE huyu mama ni diwani wa kunduchi kupitia chadema, je alikuwa bado anaishi naye?
Mwenyekiti wa kamati ya Mazishi ni nani?
Pia Steve Nyerere amedai kuwa marehemu Adam Kuambiana alikuwa na matatizo ya tumbo ambayo ndo yadaiwa chanzo cha kifo chake. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na tumbo tu, yani alikuwa anasumbuliwa na vidonda vya tumbo na hivyo ilivyotokea.
Umbea wa huyu jamaa ni mrefu , kwa kuwa ameshatangulia mbele ya haki , si vyema kumchumba sana, ila nakumbuka kuna kipindi alishawahi kuishi kunduchi , alikuwa anaoenakana viwanja vya uko mara nyingi tu ,na alikuwa akiishi na kimada ila badae akahama na hakujulikana alikuwa akiishi wapi had mauti ilipomkuta, ila niliwahi kusikia ana mke na watoto , ila badae ndo ntaenda ku confirm yote kwenye eneo la tukio pamoja na hyo nyumba inayosemekana ni yake iliyopo bunju b
Ndo nataka baadae niende nikajue kila kitu uko , maana nasikia na hiyo nyumba ya bunju wanayodai ni ya marehemu siyo yake , maana marehemu inasemekana hana nyumba, so nataka nikapate ma news yote uko , si unajua tena mambo ya msibani hapakosi mawil matatu?
Duh kweli Bongo Movies hazilipi hadi nyumba 'msanii mkubwa' anashindwa kumiliki????????
Steve hakupewa hiyo nafasi.
kama msanii mkubwa kama marehem steve hakuwa na nyumba sembuse huyu jamaa?, kujenge sio m@tak0 useme kila mtu anayo
Lakin hapana mbona nilionaga kwenye kideo Wema Sepetu amenunua nyumba ya Million 400 fedha za Kitanzania..
Inaonekana muvi zake zinauzika sana hadi akaweza kumiliki nyumba ya bei hiyo na kampuni juu!
Itakua inategemea msanii na msanii
picha hiyo ya janeth rite akiwa na marehemu kuambiana,Umbea wa huyu jamaa ni mrefu , kwa kuwa ameshatangulia mbele ya haki , si vyema kumchumba sana, ila nakumbuka kuna kipindi alishawahi kuishi kunduchi , alikuwa anaoenakana viwanja vya uko mara nyingi tu ,na alikuwa akiishi na kimada ila badae akahama na hakujulikana alikuwa akiishi wapi had mauti ilipomkuta, ila niliwahi kusikia ana mke na watoto , ila badae ndo ntaenda ku confirm yote kwenye eneo la tukio pamoja na hyo nyumba inayosemekana ni yake iliyopo bunju b
Sijui kwanini sijaipenda hii picha ambayo marehemu kapaka sijui ma breach.....mtanisamehe!!!!