Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Kwenye misiba ya mastaa raha aiseeh, yaan nimepta ma ubuyu mazito had natetemeka duuh, watu wana ma siri ya watu binamu, kuna hii nimeipata sema tu muhusika mwenyewe katangulia mbele ya haki(sio adam) ni mwingine kabisa ila ni staa wa muzik wa band , sema ngoja nikusanye leo ma ubuyu mengine, maana binamu kuna watu wambeya asieeh warumi anasubir mhh, ngoja nijiandae leo niwah eneo la tukio maana leo watu watajaa si unajua kesho wanazika? Leo nipo tayar hata kulala aiseeh nipate maubuyu vizur, maana ni shidaa
do the needful pls
Nairobi kuna kidato cha tano na sita? ?? Hao GPL wametuingiza choo cha watoto
Nairobi kuna kidato cha tano na sita? ?? Hao GPL wametuingiza choo cha watoto
Mwenzangu wanatudanganya sanaHahahahaaa....GPL wametudanganya eeh!!
GPL ina waandishi mpka wahariri makanjanja ,Kenya kidato cha 5 na 6 wapi na wapi.
Mwenzangu wanatudanganya sana
Kwenye misiba ya mastaa raha aiseeh, yaan nimepta ma ubuyu mazito had natetemeka duuh, watu wana ma siri ya watu binamu, kuna hii nimeipata sema tu muhusika mwenyewe katangulia mbele ya haki(sio adam) ni mwingine kabisa ila ni staa wa muzik wa band , sema ngoja nikusanye leo ma ubuyu mengine, maana binamu kuna watu wambeya asieeh warumi anasubir mhh, ngoja nijiandae leo niwah eneo la tukio maana leo watu watajaa si unajua kesho wanazika? Leo nipo tayar hata kulala aiseeh nipate maubuyu vizur, maana ni shidaa
Alikuwa sipendeki marehemu..watu walikubali kazi yake ila yeye hawakumpenda....Ata Sajuki amemfunika.
Tup bwana hata kwa siri tafadhali,mana mate yamenijaaa!mi ujue nakukuballi sanaaaaaaa!