Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Labda tatizo kubwa hapa ni uelewa tu, jf lipo jukwaa rasmi kabisa la udaku gossip and likes.Hapa tunataka umbea tu sie masharti ya uandishi yanahusika sijui jukwaa la lugha au wapi mi sijui...
Udaku ukiletwa hapa hata kama maneno hamna space tutamulika na kusoma tu