Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Binafsi nazikubali kiaina kazi za huyu msanii "Chemical" yuko njema sana kwenye michano, hakika akipata promo ya uhakika atatoboa,(Chibu hebu msaini huyu binti WCB)nimejaribu kumtafuta instagram sijui anatumia jina gani?
Baadhi ya ngoma zake ni 'sielewi ft Saprano,Biam sorry mama,Bna ngoma inayo hit sasa hivi ni mary mary'
Ila apunguze u "tomboy" au ndo defence mechanism ili aendelee kuitunza bikira yake?..
Baadhi ya ngoma zake ni 'sielewi ft Saprano,Biam sorry mama,Bna ngoma inayo hit sasa hivi ni mary mary'
Ila apunguze u "tomboy" au ndo defence mechanism ili aendelee kuitunza bikira yake?..