mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Si miziki ya hawa wakina sinza pazuri wanaimba [emoji304] tuHii Generation ya wachafuuuu ndiyo imepoteza vipawa vingi mno inasikitisha!
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si miziki ya hawa wakina sinza pazuri wanaimba [emoji304] tuHii Generation ya wachafuuuu ndiyo imepoteza vipawa vingi mno inasikitisha!
Edited: Chorus yupo Maulo_Track DarasaKuna ngoma yake ya kitambo kidogo ilitoka baada ya chunga sana..ni ngoma anamuongelea mshikaji aliekua ameshika dini sana lakini kiundani jamaa alikua mwizi so Kuna siku alicheza dili na nafikiri akawazurumu wenzie so wakamvamia na kumuua kitu kama icho.
Imekua muda mrefu sana sikumbuki vizuri lakini kama Kuna mdau anakumbukumbu ya ngoma anaweza share nasi.
Ni ngoma kiitikio kamshirikisha mdau na bahati mbaya hata yeye jina lake silikumbuki.