Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka. Nyandu Huwa Anajua Sana Kuwapa Respect Makaka Zake Kwenye Game.Sote njia yetu ni Moja....
R.I.P
Kuna msanii mmoja kwenye mashairi yake...
Aliwai kuweka stanza inayo sema...
SALUT KWA SALU T,
Kama sikosei atakua ni Nyandu tozi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wasalaam
Kwa Sasa
+268
Very true..N
Nakumbuka. Nyandu Huwa Anajua Sana Kuwapa Respect Makaka Zake Kwenye Game.
Hamna simjuioya huyu mwamba kama nyosso Mwamba wa OYSTERBAY au nimefanisha?
Kuna ngoma yake ya kitambo kidogo ilitoka baada ya chunga sana..ni ngoma anamuongelea mshikaji aliekua ameshika dini sana lakini kiundani jamaa alikua mwizi so Kuna siku alicheza dili na nafikiri akawazurumu wenzie so wakamvamia na kumuua kitu kama icho.Ngoma yake ile hali ya hatari
Na sikio la kiziwi ni tight sana
Ova
Hii Generation ya wachafuuuu ndiyo imepoteza vipawa vingi mno inasikitisha!Sahvi watu wamebaki kusikia miziki ya kshgshg tu
Ova