Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ile" wajinga sisi "Acha kabisa kuna hiyo darasa na kuna shukrani daa imekuwa ghafla sana.
Msanii mkongwe wa Hip Hop nchini, Salu T amefariki dunia jijini Mbeya leo tarehe 15 Aprili 2023. Msanii huyo amefariki akiwa anaendelea kupewa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya.
Akitoa taarifa ya awali, Msanii mwingine wa HipHop, Taikun Ally maarufu kama Mchizi Mox ameeleza kuwa jumanne tarehe 12 Aprili 2023, Salu T akiwa mkoani Mbeya katika harakati zake za maisha, alipata ajali ya gari iliyomsababishia majeruhi na maumivu ya mgongo. Imeelezwa kuwa hali ya Salu T ilikuwa mbaya na hivyo kupewa rufaa ya kwenda hospitali ya Taifa Muhimbili lakini hali yake haikuruhusu kusafiri na hivyo aliendelea kubaki hospitali ya Rufaa Mbeya mpaka umauti ulipomkuta.
Salu T amewahi kutamba na ngoma kama Chunga Sana aliomshirikisha msanii AY (2006) na kutayarishwa na Producer Lindu.
na ngoma nyingine nyingi, ikiwa ni pamoja na album iitwayo HAZINA.
Mchizi Mox ameeleza kuwa msiba wa Salu T upo nyumbani kwao marehemu mitaa ya Round about ya Mbuyuni, Kinyerezi Dar es Salaam na mazishi yanatajiwa kufanyika Jumatatu tarehe 17 Aprili 2023 jijini Dar es Salaam.
Pole kwa familia ya Salu T na wanaHipHop wote.
Mungu ailaze pema roho ya Salu T.
Nadhani ni vijana wa tamaduni bila shaka songaSote njia yetu ni Moja....
R.I.P
Kuna msanii mmoja kwenye mashairi yake...
Aliwai kuweka stanza inayo sema...
SALUT KWA SALU T,
Kama sikosei atakua ni Nyandu tozi
[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Wasalaam
Kwa Sasa
+268
Angepiga puli tu yaani aingie gharama ya kununua condom ili iweje.
Huyo jamaa ni mshenzi sana
Salu T yupo Deep sana jamaa anauandishi flan hivi conscious sanaR..I.P Ninja.
Mshikaji wakati anatoka alikimbizana na Mansu Li
Ngoma yake ile hali ya hatari
Na sikio la kiziwi ni tight sana
Ova
Anajua sanaSalu T yupo Deep sana jamaa anauandishi flan hivi conscious sana
Ile kweli ni HAZINAUkisikiliza Album yake ya HAZINA kuna ngoma kali sana
Sote njia yetu ni Moja....
R.I.P
Kuna msanii mmoja kwenye mashairi yake...
Aliwai kuweka stanza inayo sema...
SALUT KWA SALU T,
Kama sikosei atakua ni Nyandu tozi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wasalaam
Kwa Sasa
+268
Msanii mkongwe wa Hip Hop nchini, Salu T amefariki dunia jijini Mbeya leo tarehe 15 Aprili 2023. Msanii huyo amefariki akiwa anaendelea kupewa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya.
Akitoa taarifa ya awali, Msanii mwingine wa HipHop, Taikun Ally maarufu kama Mchizi Mox ameeleza kuwa jumanne tarehe 12 Aprili 2023, Salu T akiwa mkoani Mbeya katika harakati zake za maisha, alipata ajali ya gari iliyomsababishia majeruhi na maumivu ya mgongo. Imeelezwa kuwa hali ya Salu T ilikuwa mbaya na hivyo kupewa rufaa ya kwenda hospitali ya Taifa Muhimbili lakini hali yake haikuruhusu kusafiri na hivyo aliendelea kubaki hospitali ya Rufaa Mbeya mpaka umauti ulipomkuta.
Salu T amewahi kutamba na ngoma kama Chunga Sana aliomshirikisha msanii AY (2006) na kutayarishwa na Producer Lindu.
na ngoma nyingine nyingi, ikiwa ni pamoja na album iitwayo HAZINA.
Mchizi Mox ameeleza kuwa msiba wa Salu T upo nyumbani kwao marehemu mitaa ya Round about ya Mbuyuni, Kinyerezi Dar es Salaam na mazishi yanatajiwa kufanyika Jumatatu tarehe 17 Aprili 2023 jijini Dar es Salaam.
Pole kwa familia ya Salu T na wanaHipHop wote.
Mungu ailaze pema roho ya Salu T.
Noma sana mkuuAnajua sana
Ukisikiliza goma lake la "hali ya hatari" kaua sana mule
Ova
ClassmateR.I.P classmate
Ukipata wasaa sikia ile "somo -ukweli"Chunga Sana Kibaka akirudia zake zama
Chunga sana machizi kufarakana
Chunga sana kama huna mwana mlee yeyote mwana
Ilikuwa noma sana