Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Nitaitafuta niisikilize mkuuUkipata wasaa sikia ile "somo -ukweli"
Ikiwezekana ipandishe humu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaitafuta niisikilize mkuuUkipata wasaa sikia ile "somo -ukweli"
Ikiwezekana ipandishe humu
Ova
Watch your back young man! Wenye Jamii Forums yao wakikuotea na huku, sijui utakimbilia wapi tena.Nasikia alikuwa ni Shabiki mkubwa sana wa Yanga SC hivyo huenda mambo yakawa yameshatiki kwa Babu.
Simba SC Kesho mkipona sijui kwani nasikia tena kuna Mchezaji wao Kafiwa na Baba yake Mzazi.
Shikamooni Yanga SC na huyo Babu.
Sio kweliSiyo bongo dunia nzima Hip Hop imedolola
Majonzi yananikwaza nawaza nilopetza,Msanii mkongwe wa Hip Hop nchini, Salutaba Mwakimwagile maarufu kama Salu T amefariki dunia jijini Mbeya leo tarehe 15 Aprili 2023. Msanii huyo amefariki akiwa anaendelea kupewa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya.
Akitoa taarifa ya awali, Msanii mwingine wa HipHop, Taikun Ally maarufu kama Mchizi Mox ameeleza kuwa jumanne tarehe 12 Aprili 2023, Salu T akiwa mkoani Mbeya katika harakati zake za maisha, alipata ajali ya gari iliyomsababishia majeruhi na maumivu ya mgongo. Imeelezwa kuwa hali ya Salu T ilikuwa mbaya na hivyo kupewa rufaa ya kwenda hospitali ya Taifa Muhimbili lakini hali yake haikuruhusu kusafiri na hivyo aliendelea kubaki hospitali ya Rufaa Mbeya mpaka umauti ulipomkuta.
Salu T amewahi kutamba na ngoma kama Chunga Sana aliomshirikisha msanii AY (2006) na kutayarishwa na Producer Lindu.
na ngoma nyingine nyingi, ikiwa ni pamoja na album iitwayo HAZINA.
Mchizi Mox ameeleza kuwa msiba wa Salu T upo nyumbani kwao marehemu mitaa ya Round about ya Mbuyuni, Kinyerezi Dar es Salaam na mazishi yanatajiwa kufanyika Jumatatu tarehe 17 Aprili 2023 jijini Dar es Salaam.
Pole kwa familia ya Salu T na wanaHipHop wote.
Mungu ailaze pema roho ya Salu T.
View attachment 2588702View attachment 2588703
View attachment 2588709
Msanii mkongwe wa Hip Hop nchini, Salutaba Mwakimwagile maarufu kama Salu T amefariki dunia jijini Mbeya leo tarehe 15 Aprili 2023. Msanii huyo amefariki akiwa anaendelea kupewa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya.
Akitoa taarifa ya awali, Msanii mwingine wa HipHop, Taikun Ally maarufu kama Mchizi Mox ameeleza kuwa jumanne tarehe 12 Aprili 2023, Salu T akiwa mkoani Mbeya katika harakati zake za maisha, alipata ajali ya gari iliyomsababishia majeruhi na maumivu ya mgongo. Imeelezwa kuwa hali ya Salu T ilikuwa mbaya na hivyo kupewa rufaa ya kwenda hospitali ya Taifa Muhimbili lakini hali yake haikuruhusu kusafiri na hivyo aliendelea kubaki hospitali ya Rufaa Mbeya mpaka umauti ulipomkuta.
Salu T amewahi kutamba na ngoma kama Chunga Sana aliomshirikisha msanii AY (2006) na kutayarishwa na Producer Lindu.
na ngoma nyingine nyingi, ikiwa ni pamoja na album iitwayo HAZINA.
Mchizi Mox ameeleza kuwa msiba wa Salu T upo nyumbani kwao marehemu mitaa ya Round about ya Mbuyuni, Kinyerezi Dar es Salaam na mazishi yanatajiwa kufanyika Jumatatu tarehe 17 Aprili 2023 jijini Dar es Salaam.
Pole kwa familia ya Salu T na wanaHipHop wote.
Mungu ailaze pema roho ya Salu T.
View attachment 2588702View attachment 2588703
View attachment 2588709
Humu hiphop heads wapo wengi tu, hivyo toa tu taarifa japokuwa kutokana na mchanganyiko wa watu maswali huwa hayakosekani, lakini muhimu taarifa inakuwa imefikaNilijua nikiiweka humu watu wengi wasingemjua
🤣
Moja ya fun facts kumhusu mchizi ni kwamba katika carrier yake yote hakuna ngoma yeyote ambayo kaifanya halafu ndani yake katumia neno la kiingerezaJamaa alikuwa illest rapper
Ana goma lake moja linaitwa darasa
Hutu mwamba mistari yake yote imeja
Ujumbe tu
Wanabana pua wapaka lipstick hawawez kumjua
Ova