Msanii wa Jumba la Dhahabu anayeitwa Mikala yupo wapi?

Acha uchuro huyo dem bdo yupo tena kwenye mkesha wa new year alikuwepo pale beach kidimbwi
Inavyodaiwa mikala alifariki muda sana kabla ya marehem kanumba
Huyo mwingine anayeonekana ni mdogo, ni mdogo wake nadhani pia aliongea kuna video YouTube

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dada hakui tu? Alafu watu wa matangazo na media hawamuoni au yeye hataki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…