Aya yna...ili jina la Luxemburg? Au Moldova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya yna...ili jina la Luxemburg? Au Moldova
Kuna muvie alicheza na kanumba kama sikosei inaitwa the lost twins
Mkuu kwanini kifo chake kilifanywa siriInavyodaiwa mikala alifariki muda sana kabla ya marehem kanumba
Huyo mwingine anayeonekana ni mdogo, ni mdogo wake nadhani pia aliongea kuna video YouTube
Umenikumbusha OCG- Kazeze, sijui naye aliishia wapi!?Chuz Kihangala ndio alikuwa anatembea na JINI KABULA ambaye na yeye Tayari,Kweli Gonjwa hili limezua kizaa zaa mzozo gumzo kwa mabronzo machizi masister du walimu na wanafunzi ni KAZEZE ni KAZEZE.
haka kadada nilikua nakapenda kweli........ ila kwa ukimya huu usikute kalishatangulia mbele kwa muumba!Kama kichwa cha habari tajwa hapo juu, naomba kujuzwa kuhusu msanii aliyetamba kipindi cha nyuma kidogo katika tasnia ya Bongo Movie hususani katika tamthilia ya Jumba la Dhahabu.
Naomba kuwasilisha wadau.
View attachment 1307017
Sent using Jamii Forums mobile app
Inavyodaiwa mikala alifariki muda sana kabla ya marehem kanumba
Huyo mwingine anayeonekana ni mdogo, ni mdogo wake nadhani pia aliongea kuna video YouTube
Hahahaaa OCG na yeye kapotea kwenye Game.