Msanii wa Jumba la Dhahabu anayeitwa Mikala yupo wapi?

Msanii wa Jumba la Dhahabu anayeitwa Mikala yupo wapi?

kukumsela

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2018
Posts
725
Reaction score
917
Kama kichwa cha habari tajwa hapo juu, naomba kujuzwa kuhusu msanii aliyetamba kipindi cha nyuma kidogo katika tasnia ya Bongo Movie hususani katika tamthilia ya Jumba la Dhahabu.

Naomba kuwasilisha wadau.

70840879_171653700674673_5789404615364719249_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kichwa cha habari tajwa hapo juu, naomba kujuzwa kuhusu msanii aliyetamba kipindi cha nyuma kidogo katika tasnia ya Bongo Movie hususani katika tamthilia ya Jumba la Dhahabu.

Naomba kuwasilisha wadau.

View attachment 1307017

Sent using Jamii Forums mobile app
Muonekano wa Mikala Enzi za Jumba la Dhahabu na Wa sasa unanitia Shaka anaonekana amedhoofu(Weak) as if kama anaugua Sicklecell au alipatwa na ugonjwa umkaathiri afya yake.
 
Back
Top Bottom