Msanii wa kike avukwa na nguo akiwa jukwaani

Msanii wa kike avukwa na nguo akiwa jukwaani

alivyoiva na kujikwatua. utafikiri wale wa kwenye majaladaa ya jarida la bongo!
 
Inamaana maziwa ni nyeti nayo?
Kwa uelewa wako "nyeti" kwa mwanamke ni maeneo gani ktk mwili wake?
Yaan ukigusa bila Alama ya "ndiyo" unalambwa30. Kwa akili zako ni yapi hayo,ijapo nimekutafunia?
 
Tangu lini maziwa yakawa sehemu "nyeti" kwa Mwafrika? Kwa wazungu sawa lakini Waafrika mh...May be nyie wa huko Dar. Huku vijijini wanawake wananyonyesha mchana kweupe tena bila shida na makabila mengine matiti hayana dili kabisa yako nje nje tu hata kwa matineja.
Hayo unayoyaona yanazagaa yakichezewa kunyonywa, wewe jaribu kaliguse hadharani uone cha moto. Utashitakiwa kwa kushika nyeti za mwanamke bila ridhaa yake. Mbona nyeti za mwanamke no karibu mwili mzima, kasoro kichwa Shingo mikono na makanyagio.
Lkn anzia goti kupanda juu, hadi shngo kila kiungo pale ni eneo nyeti kwa mwanamke.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ana nyonyo matata sana. Aachie tuthaminishe.
 
..dadadeki....[emoji39] [emoji39]
nyonyo ndio maradhi yangu bazazi mie..[emoji5] [emoji5]
 
Back
Top Bottom