foreign er
Member
- Jul 19, 2016
- 81
- 27
Kumbe nawe ni mwanamitindo.Ziko bra za magauni kama haya banaa.
Kumbe nawe ni mwanamitindo.
Wanawake mnawaonea tu. Eti yamelala kama ndala. Huyu ni mama wa watoto watatu kama sikosei, sasa ulitaka matiti yake yabakie kuwa saa sita? Hiyo aliyovaa ni "robe" na pengine katoka kukoga na sasa anarelax.Duh!anamtindi wa ukweli wanawake wengine naona huwa wanashindwa kujiweka sawa unakuta yamelala kama ndalaView attachment 373934
Tatizo nn wewe si unajua mm mambo ya kike hayanihusu, anayepaswa kuyajua ni mwanamke mwenyewe au wale makonda anaosema tuwa unfollow,nahisi wewe huko katika kundi mojawapo maana unajua kweli kuhusu mavazi ya kike.Acha kukurupuka. Kujua kwamba kuna bra za kuvalia gauni kama hili huhitaji kuwa mwanamitindo. Kama hujui kitu uliza badala ya kukurupuka, "siyo kila dress lazima livaliwe na bra."
mtu katoka kujifungua unataka awe na chuchu saa sita?.Duh!anamtindi wa ukweli wanawake wengine naona huwa wanashindwa kujiweka sawa unakuta yamelala kama ndalaView attachment 373934
Tangu lini maziwa yakawa sehemu "nyeti" kwa Mwafrika? Kwa wazungu sawa lakini Waafrika mh...May be nyie wa huko Dar. Huku vijijini wanawake wananyonyesha mchana kweupe tena bila shida na makabila mengine matiti hayana dili kabisa yako nje nje tu hata kwa matineja.