Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Kila siku anazindua kinywaji ,Kakizindua kwenye matangazo kombe la dunia,wakati akitoa mvumo wa radi,wakati wa funga mwaka yeye kila siku anafanya uzinduzi wa MoFaya anashindwa kutaja hata hizo distributions point ili watu kupata hizo MoFaya wamuunge mkono,hapo ndipo napohisi jamaa hana umiliki wowote zaidi ya ubalozi tu.Hiyo TV nayo ni changa la macho tu hamna kitu.
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA
HHEHEHEHEHEHEHEHEHEEHEEHE
HIHIHIHIHHIHIHIHIHIHIHIHIHIHIHIHI
HOHOHOHOHOHOHOHOHOHOHOHO
HUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHUHU
KWIKWIKWIKWIKWIKWIKWIKWIKWI
Acha nishushie na PEPSI BIG
 
mm nauliza hivi WASAFI FM NA WASAFI TV Je wanagonga nyimbo za ALIKIBA???
 
kuna Kadogo na Nyegezi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
h
Huu uzi wako unaweza ukaufuta mara moja bado upo na hamna ukweli wa ulichokizungumzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…