Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Champions league imeisha, lakini swali langu je hiyo TV itaonyesha na EURO16? Maana sisi wengine Ni wapenzi wa kandanda.

AlikibaTv ni Entertaiment oriented channel kama soundicty au east africa radio, kwahyo ni burudan zaidi.
 
Ametisha sana...

Ila meneja wake wafanye kazi, msanii anatoa hit songs za kutosha kwanini hawamtafutii shows? Mapato ya msanii kwa kiasi kikubwa yanatokana na shows, wanategemea awe bilionea kivipi?

Mkuu swal lako nishalijibu chini unaweza ukapiga show 10 za laki laki lakin mwenzako akapiga show 3 za milion milion, ndio kitu anachofanya kiba.

Pia kuhusu utajiri, kiba ni msanii mwenye fedha nyingi sema lifestyle lake hapend kushow off,
 
Alikiba anatoza dau kubwa ndiomana show zake nyingi anapigia kenya, za bongo nyingi dau dogo, ndiomana mwaka jana kwa mujibu wa utafiti wa msetoa tv Alikuwa ni msanii wa 3 kwa kuingiza pesa nyingi East africa kupitia show, Alifanya show chache lakin za mpunga mrefu mfano show kwenye uzinduz wa safaricom kenya, koroga festival etc, Pia mwaka jana kaamua kuja na mpango wake kuwa anaandaa show mwenyewe ili maximize profit mfano show ya "funga mwaka na kingkiba, pia mwaka huu vile vile atakuwa anasimamia show zake mwenyewe, tofaut na yule mwenzake anayeitwa na mapromota kwa tu million 20 per show.

Mbona aliongea kwenye EFM kuwa analipwa 15mil per show akipiga playback na 20mil akipiga live... Hizo habari zako umezitoa kwenye gazeti la amani au wembe??

Anyway, mi niliongea kwa mazuri tu. Kama atakuwa anaandaa mwenyewe shows itakuwa poa cha muhimu awatumie mashabiki wake wanaotumia muda mwingi kutukana mitandaoni bila kujichangisha pesa za shows..
 
Mkuu swal lako nishalijibu chini unaweza ukapiga show 10 za laki laki lakin mwenzako akapiga show 3 za milion milion, ndio kitu anachofanya kiba.

Pia kuhusu utajiri, kiba ni msanii mwenye fedha nyingi sema lifestyle lake hapend kushow off,
Hapendi show off !!!! hii habari umeijuaje ............ na ile ya kufanya daladala tour je .................. na hivi viji mikataba tumejuaje kama si show off ................. na ile ya Joketi kujipendekeza kwake mbona kaisema yeye .................. na hizo picha tunazoziona je ????
 
Habar wakuu!
huku wengine wakiendelea kujivunia kuchora mitattoo ya bei ghari na meno ya dhahabu.

Msanii wa kimataifa Alikiba yeye aendelea kuitumia vyema karata yake baada kupata Shavu la sony global deal, Hii leo amezindua rasmi televevision yake "ALIKIBATV" ambayo itaanza kupatikana kwny dstv pamoja na ving'amuzi mbalimbali, Dunia nzima watu mbalimbali watapata access ya kuitazama channel hiyo. Hongera Kiba gooo kingkiba


#Repost @officialalikiba with @repostapp
・・・
Caption :
MAJOR ANNOUNCEMENT #5: ALIKIBA LAUNCH ALIKIBA TV IN GLOBAL PARTNERSHIP WITH ROCKSTARTV
ALIKIBA channel to give fans, broadcasters, platforms and content licensors an All Access Rockstar Pass to everything in the world of Alikiba, world class around-the-clock content. Subscribe to the official Alikiba YouTube and Facebook Channels, Rockstar TV channels, SoundCity and several other channels around the world to be announced soon... @RockstarTelevision #RockstarTV #KingKiba #AlikibaTV #ROCKSTAR4000 @ROCKSTAR4000 @SoundCityAfrica #Aje #KingKiba
Habar wakuu!
huku wengine wakiendelea kujivunia kuchora mitattoo ya bei ghari na meno ya dhahabu.

Msanii wa kimataifa Alikiba yeye aendelea kuitumia vyema karata yake baada kupata Shavu la sony global deal, Hii leo amezindua rasmi televevision yake "ALIKIBATV" ambayo itaanza kupatikana kwny dstv pamoja na ving'amuzi mbalimbali, Dunia nzima watu mbalimbali watapata access ya kuitazama channel hiyo. Hongera Kiba gooo kingkiba


#Repost @officialalikiba with @repostapp
・・・
Caption :
MAJOR ANNOUNCEMENT #5: ALIKIBA LAUNCH ALIKIBA TV IN GLOBAL PARTNERSHIP WITH ROCKSTARTV
ALIKIBA channel to give fans, broadcasters, platforms and content licensors an All Access Rockstar Pass to everything in the world of Alikiba, world class around-the-clock content. Subscribe to the official Alikiba YouTube and Facebook Channels, Rockstar TV channels, SoundCity and several other channels around the world to be announced soon... @RockstarTelevision #RockstarTV #KingKiba #AlikibaTV #ROCKSTAR4000 @ROCKSTAR4000 @SoundCityAfrica #Aje #KingKiba
Hongera Sana lakini nianze kuangalia mda gani hapa Azam TV?
 
Ametisha sana...

Ila meneja wake wafanye kazi, msanii anatoa hit songs za kutosha kwanini hawamtafutii shows? Mapato ya msanii kwa kiasi kikubwa yanatokana na shows, wanategemea awe bilionea kivipi?
Shows anapiga ila pesa ndefu Sana subiri swaumu ipite utaona tutakavyowatoa povu
 
Maji Marefu TV... mmhh TV zingine za kichawi..!!
 
Tujuze mkuu uzinduzi wa hiyo tv utafanyika wapi na lini na itakuwa saa ngapi? Tusemezane

Soma vizur hiyo habari, utarushwa soundcity tv, trace, mtv etc pia kwa nyie mlio online kuna link za kuona tukio hilo moja kwa moja tutazitupia, pia unaweza ukasubscribe kwenye youtube channel ya kiba au offical fb page yake tutatoa link.
 
Youtube chanel hata mimi ninayo.

Hahahaha lowasa alisema Elimu!! Elimu! Elimu!
Hivi umeilewa vizur hiyo habari? Ni hivi unatakiwa usubscribe youtube channel ya Kiba, au ufollow page yake fb au uwe karibu na tv zote kubwa dunian kama soundicity ili badae uweze kupata nafas ya kushuhudia tukio hilo la kihistoria la uzinduzi wa Alikibatv.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watu povuuuuuu. Huu mchezo hautaki hasiraaaaaa.. Big up king kiba
 
Back
Top Bottom