Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Koroga festival show alopiga kiba ilikuwa ni tukio la 3 kihistoria kenya mwaka jana kwa kujaza watu, tukio la kwanza ilikuwa ni ujio wa Obama na tukio la 2 kwa kujaza watu ni ujio wa papa. inasemekana kiba aliingiza pesa nyingi sana, show imemfunguliwa milango mingi, ikiwemo deal la sony, pia jiandae kisaikolojia mwaka huu tuzo za mtv king ndan ya nyumba.

Nisimalize uhondo wote, habar zote utakuwa unazipata live kupitia Alikibatv, uwiiiiii
Kwa hiyo ile ya bongo man haioni ndani siyo?!
 
Kusema ukweli kibongobongo kuanzisha label ni more profitable than TV,angalia leo hii wale jamaa wanashambulia karibia tz nzima na kuingiza pesa,na wale vijana wapya wawili wametoka juzi tu lakini sasa hivi wana influence kubwa ya kujaza show, King akiendelea kushangaa nao watampita kwa maendeleo.

Mkuu kingkiba ni jeshi la mtu mmoja, pia nataka nikujuze tu, Kiba anaanzisha chuo cha mzki kama ilivyo THT, ndiomana kasema mwaka huu ni #NewYearNewKingkiba
 
Pole sana nilikuwa kwenye entertainment industry kwa muda mrefu so still bado najua 123 za biashara ya muziki.. Najua bei za wasanii ndio maana nimeshangaa hiyo bei ya Kiba kwa biashara ipi ya kufanya na Kiba... Ukijiroga uingie mfukoni ufanye biashara kichaa kama hiyo imekula kwako.. Msanii pekee ambaye biashara yake ni uhakika ni Diamond labda na Weusi ukifanya promotion nzuri.

Sasa umekuwa kwenye industry miaka mingi lakin mziki umechange sana, wasanii wanaosimamiwa na seven mosha wanajielewa sana, ndiomana siku hizi haendi kwenye show za mapromoter bali management ndiyo inayoandaa show ya msanii, mfano utaona funga mwaka na kingkiba ilivyokuwa tukavuta mounga wa maana, pia kama unavyoona Show za Jaydee naamka tena concert zote zinaandaliwa na management sio promoter,
 
Kwa hiyo ile ya bongo man haioni ndani siyo?!

Sio tu hii ya bongo bali mwaka jana kwa east africa hakuna msanii alofanya show kubwa na yenye watu weng kama ile ya koroga festival.
 
Sasa umekuwa kwenye industry miaka mingi lakin mziki umechange sana, wasanii wanaosimamiwa na seven mosha wanajielewa sana, ndiomana siku hizi haendi kwenye show za mapromoter bali management ndiyo inayoandaa show ya msanii, mfano utaona funga mwaka na kingkiba ilivyokuwa tukavuta mounga wa maana, pia kama unavyoona Show za Jaydee naamka tena concert zote zinaandaliwa na management sio promoter,


samahani huyo seven mosha na David mosha le bilionea ( mbunge kivuli wa moshi ) ni ndugu?
 
Kama ni TV ya king'amuzini kabisa nampa hongera sana kIng Kiba, ila kama ni zile tv kama global tv, sijui le mutuz tv hamna kitu.
 
Na yule mwingine atakuja na nn sijui?
Kwahiyo hii umeiamini ........... wewe kweli ni panzi kama sio sisimizi,mtu anakuambia NI KAMA STAR TV AU TBC. Sasa kwa akili ya kawaida si na wewe unatakiwa ujiongeze.
 
Kuanzisha Tv yako si kazi ya kitoto kunahitaji mwendelezo wa matukio ya kuvutia,tumtakie tu kila la heri kama ni kweli, isije ikawa ni kama akina ubaya sepetunga na kipindi chake cha 'ndani ya viatu'
 
Alikiba anatoza dau kubwa ndiomana show zake nyingi anapigia kenya, za bongo nyingi dau dogo, ndiomana mwaka jana kwa mujibu wa utafiti wa msetoa tv Alikuwa ni msanii wa 3 kwa kuingiza pesa nyingi East africa kupitia show, Alifanya show chache lakin za mpunga mrefu mfano show kwenye uzinduz wa safaricom kenya, koroga festival etc, Pia mwaka jana kaamua kuja na mpango wake kuwa anaandaa show mwenyewe ili maximize profit mfano show ya "funga mwaka na kingkiba, pia mwaka huu vile vile atakuwa anasimamia show zake mwenyewe, tofaut na yule mwenzake anayeitwa na mapromota kwa tu million 20 per show.
Mwaka jana show ya tigo kiba unajua alipwe tshs ngap na diamond unajua alikula tshs ngapi
 
Back
Top Bottom