AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
- Thread starter
-
- #21
Champions league imeisha, lakini swali langu je hiyo TV itaonyesha na EURO16? Maana sisi wengine Ni wapenzi wa kandanda.
Ungeandika hii habari bila vijembe mbona ingenoga tu mwana
Hmm.......
Ametisha sana...
Ila meneja wake wafanye kazi, msanii anatoa hit songs za kutosha kwanini hawamtafutii shows? Mapato ya msanii kwa kiasi kikubwa yanatokana na shows, wanategemea awe bilionea kivipi?
Alikiba anatoza dau kubwa ndiomana show zake nyingi anapigia kenya, za bongo nyingi dau dogo, ndiomana mwaka jana kwa mujibu wa utafiti wa msetoa tv Alikuwa ni msanii wa 3 kwa kuingiza pesa nyingi East africa kupitia show, Alifanya show chache lakin za mpunga mrefu mfano show kwenye uzinduz wa safaricom kenya, koroga festival etc, Pia mwaka jana kaamua kuja na mpango wake kuwa anaandaa show mwenyewe ili maximize profit mfano show ya "funga mwaka na kingkiba, pia mwaka huu vile vile atakuwa anasimamia show zake mwenyewe, tofaut na yule mwenzake anayeitwa na mapromota kwa tu million 20 per show.
Hapendi show off !!!! hii habari umeijuaje ............ na ile ya kufanya daladala tour je .................. na hivi viji mikataba tumejuaje kama si show off ................. na ile ya Joketi kujipendekeza kwake mbona kaisema yeye .................. na hizo picha tunazoziona je ????Mkuu swal lako nishalijibu chini unaweza ukapiga show 10 za laki laki lakin mwenzako akapiga show 3 za milion milion, ndio kitu anachofanya kiba.
Pia kuhusu utajiri, kiba ni msanii mwenye fedha nyingi sema lifestyle lake hapend kushow off,
Habar wakuu!
huku wengine wakiendelea kujivunia kuchora mitattoo ya bei ghari na meno ya dhahabu.
Msanii wa kimataifa Alikiba yeye aendelea kuitumia vyema karata yake baada kupata Shavu la sony global deal, Hii leo amezindua rasmi televevision yake "ALIKIBATV" ambayo itaanza kupatikana kwny dstv pamoja na ving'amuzi mbalimbali, Dunia nzima watu mbalimbali watapata access ya kuitazama channel hiyo. Hongera Kiba gooo kingkiba
#Repost @officialalikiba with @repostapp
・・・
Caption :
MAJOR ANNOUNCEMENT #5: ALIKIBA LAUNCH ALIKIBA TV IN GLOBAL PARTNERSHIP WITH ROCKSTARTV
ALIKIBA channel to give fans, broadcasters, platforms and content licensors an All Access Rockstar Pass to everything in the world of Alikiba, world class around-the-clock content. Subscribe to the official Alikiba YouTube and Facebook Channels, Rockstar TV channels, SoundCity and several other channels around the world to be announced soon... @RockstarTelevision #RockstarTV #KingKiba #AlikibaTV #ROCKSTAR4000 @ROCKSTAR4000 @SoundCityAfrica #Aje #KingKiba
Hongera Sana lakini nianze kuangalia mda gani hapa Azam TV?Habar wakuu!
huku wengine wakiendelea kujivunia kuchora mitattoo ya bei ghari na meno ya dhahabu.
Msanii wa kimataifa Alikiba yeye aendelea kuitumia vyema karata yake baada kupata Shavu la sony global deal, Hii leo amezindua rasmi televevision yake "ALIKIBATV" ambayo itaanza kupatikana kwny dstv pamoja na ving'amuzi mbalimbali, Dunia nzima watu mbalimbali watapata access ya kuitazama channel hiyo. Hongera Kiba gooo kingkiba
#Repost @officialalikiba with @repostapp
・・・
Caption :
MAJOR ANNOUNCEMENT #5: ALIKIBA LAUNCH ALIKIBA TV IN GLOBAL PARTNERSHIP WITH ROCKSTARTV
ALIKIBA channel to give fans, broadcasters, platforms and content licensors an All Access Rockstar Pass to everything in the world of Alikiba, world class around-the-clock content. Subscribe to the official Alikiba YouTube and Facebook Channels, Rockstar TV channels, SoundCity and several other channels around the world to be announced soon... @RockstarTelevision #RockstarTV #KingKiba #AlikibaTV #ROCKSTAR4000 @ROCKSTAR4000 @SoundCityAfrica #Aje #KingKiba
Shows anapiga ila pesa ndefu Sana subiri swaumu ipite utaona tutakavyowatoa povuAmetisha sana...
Ila meneja wake wafanye kazi, msanii anatoa hit songs za kutosha kwanini hawamtafutii shows? Mapato ya msanii kwa kiasi kikubwa yanatokana na shows, wanategemea awe bilionea kivipi?
Ndio huyo mkuu.Huyu msanii wa kimataifa ndie wakati fulani alizuiwa airport Berlin kwa ajili ya madawa ya kulevya?
Tujuze mkuu uzinduzi wa hiyo tv utafanyika wapi na lini na itakuwa saa ngapi? Tusemezane
Maji Marefu TV... mmhh TV zingine za kichawi..!!
Youtube chanel hata mimi ninayo.
Shows anapiga ila pesa ndefu Sana subiri swaumu ipite utaona tutakavyowatoa povu