tamadunimusic
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 551
- 559
Sasa meno ya dhahabu pamoja na tattoo za wengine zinahusika nini na hiyo launching ya TV yake!?!?
Kwa hiyo ile ya bongo man haioni ndani siyo?!Koroga festival show alopiga kiba ilikuwa ni tukio la 3 kihistoria kenya mwaka jana kwa kujaza watu, tukio la kwanza ilikuwa ni ujio wa Obama na tukio la 2 kwa kujaza watu ni ujio wa papa. inasemekana kiba aliingiza pesa nyingi sana, show imemfunguliwa milango mingi, ikiwemo deal la sony, pia jiandae kisaikolojia mwaka huu tuzo za mtv king ndan ya nyumba.
Nisimalize uhondo wote, habar zote utakuwa unazipata live kupitia Alikibatv, uwiiiiii
Kusema ukweli kibongobongo kuanzisha label ni more profitable than TV,angalia leo hii wale jamaa wanashambulia karibia tz nzima na kuingiza pesa,na wale vijana wapya wawili wametoka juzi tu lakini sasa hivi wana influence kubwa ya kujaza show, King akiendelea kushangaa nao watampita kwa maendeleo.
Pole sana nilikuwa kwenye entertainment industry kwa muda mrefu so still bado najua 123 za biashara ya muziki.. Najua bei za wasanii ndio maana nimeshangaa hiyo bei ya Kiba kwa biashara ipi ya kufanya na Kiba... Ukijiroga uingie mfukoni ufanye biashara kichaa kama hiyo imekula kwako.. Msanii pekee ambaye biashara yake ni uhakika ni Diamond labda na Weusi ukifanya promotion nzuri.
Kwa hiyo ile ya bongo man haioni ndani siyo?!
Simba Tv
Sasa umekuwa kwenye industry miaka mingi lakin mziki umechange sana, wasanii wanaosimamiwa na seven mosha wanajielewa sana, ndiomana siku hizi haendi kwenye show za mapromoter bali management ndiyo inayoandaa show ya msanii, mfano utaona funga mwaka na kingkiba ilivyokuwa tukavuta mounga wa maana, pia kama unavyoona Show za Jaydee naamka tena concert zote zinaandaliwa na management sio promoter,
samahani huyo seven mosha na David mosha le bilionea ( mbunge kivuli wa moshi ) ni ndugu?
Kama ni TV ya king'amuzini kabisa nampa hongera sana kIng Kiba, ila kama ni zile tv kama global tv, sijui le mutuz tv hamna kitu.
hapo sawa kiongoziSio online tv, bali ni tv kama star tv, tbc,
mtoa uzi kasema dstvHii tivii itakuwa inaonekana kwenye visimbusi gani? au itakuwa kwenye list ya local channels?
Hongera Alikiba!
Kwahiyo hii umeiamini ........... wewe kweli ni panzi kama sio sisimizi,mtu anakuambia NI KAMA STAR TV AU TBC. Sasa kwa akili ya kawaida si na wewe unatakiwa ujiongeze.Na yule mwingine atakuja na nn sijui?
Kama ni hivo basi kiba ni msanii tajiri kuliko wote Africa.mtoa uzi kasema dstv
Mwaka jana show ya tigo kiba unajua alipwe tshs ngap na diamond unajua alikula tshs ngapiAlikiba anatoza dau kubwa ndiomana show zake nyingi anapigia kenya, za bongo nyingi dau dogo, ndiomana mwaka jana kwa mujibu wa utafiti wa msetoa tv Alikuwa ni msanii wa 3 kwa kuingiza pesa nyingi East africa kupitia show, Alifanya show chache lakin za mpunga mrefu mfano show kwenye uzinduz wa safaricom kenya, koroga festival etc, Pia mwaka jana kaamua kuja na mpango wake kuwa anaandaa show mwenyewe ili maximize profit mfano show ya "funga mwaka na kingkiba, pia mwaka huu vile vile atakuwa anasimamia show zake mwenyewe, tofaut na yule mwenzake anayeitwa na mapromota kwa tu million 20 per show.