Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

TV sio masiala nyie, kwa jinsi nilivyoelewa mm kupitia BONGO5 Alikiba TV itakuwa haina tofauti na diary of Lady Jay dee au in my shoes ya wema ila wanajitahidi iwe inaonekana maeneo mengi, kwa kuanzia wameanza na sound city na kwa wale ambao hawana access ya kunasa sound city wa subscribe ktk youtube channel ya Ali kiba. Ila kuhusu swala la TV kama TV sio masiala cha msingi tu nae awe bingwa wa kugenerate matukio, Kiki. Ila sio mbaya atakuwa ametoa ajira kwa makamera man, editor na maphotographer ishu yake haina tofauti na REALITY SHOW kama zile za wema na jide.
 
ah wap hakuna kitu kama hicho, hzo zote ni kick katika harakati za kuisaka attention ya audiance.
 
Wikiendi iliyomalizika, kampuni ya usimamiziinayofanya kazi naye, Rockstar4000 imetangazakuingia naye ubia kwa kuanzisha kilekilichopewa jina ‘Alikiba TV.’

Kwa wengi taarifa hiyo iliyoandikwa kwa Kiingereza haijaeleweka vizuri na hivyo nimelazimika kumtafuta meneja wake, Seven Mosha kumuomba atupe ufafanuzi zaidi.

“Alikiba amezindua Alikiba TV ambayo ni content kuhusiana na kazi yake – matukio yote around him kikazi itakayokuwa inapatikana kwenye YouTube channel yake na pia itaanza kuoneshwa kwenye vituo mbalimbali tukianza na SoundCity,” Seven ameiambia Bongo5.

“Alikiba TV itakuwa chini ya mwavuli wa Rockstar Television,” ameongeza.

Kwa mujibu wa tangazo hilo zaidi ya Soundcity ya Nigeria, vituo vingine vya runinga dunian ivitakavyoshirikiana naye kwenye mradi huo vitatangazwa. Kwa sasa mashabiki wameombwa kusubcribe kwenye channel yake ya Youtube ili kutopitwa na chochote.

Wiki mbili zilizopita Alikiba alisainishwa recording deal na label maarufu duniani, Sony Music. Kiba anayefanya vizuri na wimbo wake Aje, amekuwa msanii wa pili baada ya Davido kusainishwa kile wanachokiita ‘global deal’ na label hiyo iliyo nyumbani kwa wasanii wakubwa duniani.

 
Mhhh, kumbe youtube ngoja waje wadau wa upande wa pili lazima pachafuke humu
 
Ilivyoanza ni kama mambo ya studio yaani kila mtu ana studio yake,sasa na tv na ma apps,kimenuka cjui nnani ataangalia ya mwenzie.
 
ww nae sasa tour utaifichaje wkt target ni mashabiki zake ? mkataba wa Sonny ataufichage wkt ni promotion ya mziki , au huelew maana ya showoff na marketing
Sawa mwalimu wangu,hebu niambie wewe maana ya showoff ???
 
Hizo ulizozutaja ni online tv, Huwez kuipata dstv au azam, ila hii ya kiba sio Online tv, ni tv kama Cloudz tv, East Africa tv, itv, mtv etc
Haita fanana hivyo ni kipindi tu kitakua pale DSTV, hakuna studio ya kutayarishia vipindi. Halafu ungesema tu msanii wa kitanzania ingetosha, hii wa kimataifa ni vizuri zaidi kuitumia kwa wageni, ila wakienda huko nje ndiyo wataitwa hivyo.
 
Msichukulie poa You tube channel Mazee.....kama ina support ya viewers ni kubwa kuliko TV.

Ila Kiba si anayo You tube Channel toka kitambo.....sema ishu bado kupata subscribers. Itambidi afanye kazi ya ziada mwenzake Mondi ana subscribers 280k ilihali Kiba anacheza kwenye 48k.....nadhani ndio maana anasisitiza mu subscribe pale.
 
Mungu hakuumba binadamu muwe na chuki ivi asee badilika acha dhambi bana mkonje
haya niliyoyaandika jana ndo amesema meneja wa alikiba leo. tatizo mnafijiri kila mtu bwege. unadhani kuanzisha tv ni mchezo.? nlisema kuwa atakuwa anaandaa vipindi visivyozidi dk60 na kuvisambaza katika tv mbali mbali watu wakanambia nina wivu. haya wapi huyo tv sasa.?
 
hela ya kuanzisha simba tv, mwenzako kaitumia yote kuweka meno ya dhahabu kwahiyo haiwezekan inabidi tu mje mumnyenyekee Kiba apige nyimbo zenu kwenye Tv yake hahahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mtani bana, karibu ugali dagaa.
 
sio wivu nilikuw nawaelewesha tuu na nadhani sasa mmeelewa
 
Kumbe muda wote huo mnaongelea you tube channel? Au tv ndani ya TV? Sasa mbona hata Millard ayo na shafii,Ay na na mkasi wanazo hizo? Mbona Kiba anapoteza muda kwenye mambo ambayo ni ya kawaida sana? Kwa hiyo siku zote hizo alikuwa ana subiri nini?

Alikiba ajikite kutafuta show TV za kudandia ndani ya TV za watu na You tube channel ni vitu vidogo sana kwanza kachelewa!
 
aliyeanzisha uzi na kuwakejel wengne yupo wap, naona kimya TEH
 
Sawa mwalimu wangu,hebu niambie wewe maana ya showoff ???
kujenga nyumba ya mama yako alf utangazie watu hizo ndo showoff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…