Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Cku iz hiz tv hapa bongo zipo kama buku ivi , mara sadick tv _ayo tv_ cjui upuuz gan tv... Na mimi ninayo ruzyTV..

Hongera sana
Ila tatizo watanzania walijua ni station ya kideo kama vile ITV n.k
Joti Tv,BOngo5 Tv,hahaahahaha
 
Kuanzisha TV ni rahisi sana lakini uendeshaji wake ni mgumu mno!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kuna baadhi ya matajiri wameingia kwenye biashara hii wanajuta. Labda zile TV za kurecodi clip na kuziweka you tube ndio havina garama.
 
Habari wakuu!

Huku wengine wakiendelea kujivunia kuchora mitattoo ya bei ghali na meno ya dhahabu.

Msanii wa kimataifa Alikiba yeye aendelea kuitumia vyema karata yake baada kupata Shavu la sony global deal, hii leo amezindua rasmi televevision yake "ALIKIBATV" ambayo itaanza kupatikana kwny DSTV pamoja na ving'amuzi mbalimbali. Dunia nzima watu mbalimbali watapata access ya kuitazama channel hiyo.

Hongera Kiba, gooo King Kiba..


View attachment 352091

[HASHTAG]#Repost[/HASHTAG] @officialalikiba with @repostapp
・・・
Caption: MAJOR ANNOUNCEMENT #5: ALIKIBA LAUNCH ALIKIBA TV IN GLOBAL PARTNERSHIP WITH ROCKSTARTV

ALIKIBA channel to give fans, broadcasters, platforms and content licensors an All Access Rockstar Pass to everything in the world of Alikiba, world class around-the-clock content.

Subscribe to the official Alikiba YouTube and Facebook Channels, Rockstar TV channels, SoundCity and several other channels around the world to be announced soon...

@RockstarTelevision [HASHTAG]#RockstarTV[/HASHTAG] [HASHTAG]#KingKiba[/HASHTAG] [HASHTAG]#AlikibaTV[/HASHTAG] [HASHTAG]#ROCKSTAR4000[/HASHTAG] @ROCKSTAR4000 @SoundCityAfrica [HASHTAG]#Aje[/HASHTAG] [HASHTAG]#KingKiba[/HASHTAG]
===============

Meneja wa Alikiba, Seven Mosha, afanunua nini kitakachokuwepo kwenye Alikiba TV

Wikiendi iliyomalizika, kampuni ya usimamizi inayofanya kazi naye, Rockstar4000 imetangazakuingia naye ubia kwa kuanzisha kile kilichopewa jina ‘Alikiba TV.’

Kwa wengi taarifa hiyo iliyoandikwa kwa Kiingereza haijaeleweka vizuri na hivyo nimelazimika kumtafuta meneja wake, Seven Mosha kumuomba atupe ufafanuzi zaidi.

“Alikiba amezindua Alikiba TV ambayo ni content kuhusiana na kazi yake – matukio yote around him kikazi itakayokuwa inapatikana kwenye YouTube channel yake na pia itaanza kuoneshwa kwenye vituo mbalimbali tukianza na SoundCity,” Seven ameiambia Bongo5.

“Alikiba TV itakuwa chini ya mwavuli wa Rockstar Television,” ameongeza.

Kwa mujibu wa tangazo hilo zaidi ya Soundcity ya Nigeria, vituo vingine vya runinga dunian ivitakavyoshirikiana naye kwenye mradi huo vitatangazwa. Kwa sasa mashabiki wameombwa kusubcribe kwenye channel yake ya Youtube ili kutopitwa na chochote.

Wiki mbili zilizopita Alikiba alisainishwa recording deal na label maarufu duniani, Sony Music. Kiba anayefanya vizuri na wimbo wake Aje, amekuwa msanii wa pili baada ya Davido kusainishwa kile wanachokiita ‘global deal’ na label hiyo iliyo nyumbani kwa wasanii wakubwa duniani.


Chanzo:Bongo5
Hongera zake
 
Wabongo kwa ujinga bwana, ndiyo maana majirani zetu wanatucheka. Kiba bora tu awe mtangazaji wa luninga, yaani jamaa kaishiwa kimuziki vibaya sana na inaonyesha kuwa muziki ni kipaji si kubebwa tu kwani utabebwa na kujilazimisha kuwa wewe ni mwanamuziki ila ukweli huko pale pale, muziki ni kipaji ambacho Kiba hana, period.
 
Mmenikumbusha mbali sana . ivi Simba Tv ilifia wapi?
 
Kamini suni ni miezi minne tangu tuambiwe kamini suni hata ije signal test basi tuone sindelela ikioneshwa ALIKIBA TV
 
HUKU WENGINE WAKIENDELEA KUNUNUA MAJUMBA MAKALI S.A NA MIMENO YA DHAHABU WACHA SISI TUENDELEE KUSUBULI KAMINI SUNI
 
Sony walimtia ndimu ili akolee.Amuulize Jacko ili apate majibu sahihi.
 
Back
Top Bottom