Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Brother AdvocateFi hivi ile channel ya Kiba DSTV inashika namba ngapi?

Tuambie brother husikimbie uzi wako,huu umeufungua mwenyewe tunataka majibu.

Naona una account yako Instagram unawapiga Kamba na mtu akikukosoa unampa block.
😂😂😂😂😂
 
Huyu jamaa kila anachokifanya Diamond lazima nae atajikakamua kukifanya Diamond anamiliki WCB na Wasafi TV ,nae kajitutumua anataka kumiliki AlikibaTv,mara Director wa Rockstar alafu mwisho wa siku sijui vitu vyake vinaishiaga wapi.


Anapenda kiki ila anajificha ktk mgongo wa Diamond ,hapa kati katoa maboko kibao,kakaa chini akaaona hapa hili nitrend nimtumie Hamisa kama Video vixen,kweli strategical mpaka sasa kafaulu,sasa tujiulize hili Dodo watu wamelipenda sababu ya Kiba au Hamisa jibu utalipata baada ya week.
 
Huyu jamaa kila anachokifanya Diamond lazima nae atajikakamua kukifanya Diamond anamiliki WCB na Wasafi TV ,nae kajitutumua anataka kumiliki AlikibaTv,mara Ditector wa Rockstar alafu mwisho wa siku sijui vitu vyake vinaishiaga wapi.


Anapenda kiki ila anajificha ktk mgongo wa Diamond ,hapa kati katoa maboko kibao,kakaa chini akaaona hapa hili nitrend nimtumie Hamisa kama Video vixen,kweli strategical mpaka sasa kafaulu,sasa tujiulize hili Dodo watu wamelipenda sababu ya Kiba au Hamisa jibu utalipata baada ya week.
Fanya kazi acha kuteseka na maisha ya watu
 
Huyu jamaa kila anachokifanya Diamond lazima nae atajikakamua kukifanya Diamond anamiliki WCB na Wasafi TV ,nae kajitutumua anataka kumiliki AlikibaTv,mara Ditector wa Rockstar alafu mwisho wa siku sijui vitu vyake vinaishiaga wapi.


Anapenda kiki ila anajificha ktk mgongo wa Diamond ,hapa kati katoa maboko kibao,kakaa chini akaaona hapa hili nitrend nimtumie Hamisa kama Video vixen,kweli strategical mpaka sasa kafaulu,sasa tujiulize hili Dodo watu wamelipenda sababu ya Kiba au Hamisa jibu utalipata baada ya week.
Robidinyo
 
[emoji3][emoji3] nmeishia kucheka tu
Huyu jamaa kila anachokifanya Diamond lazima nae atajikakamua kukifanya Diamond anamiliki WCB na Wasafi TV ,nae kajitutumua anataka kumiliki AlikibaTv,mara Ditector wa Rockstar alafu mwisho wa siku sijui vitu vyake vinaishiaga wapi.


Anapenda kiki ila anajificha ktk mgongo wa Diamond ,hapa kati katoa maboko kibao,kakaa chini akaaona hapa hili nitrend nimtumie Hamisa kama Video vixen,kweli strategical mpaka sasa kafaulu,sasa tujiulize hili Dodo watu wamelipenda sababu ya Kiba au Hamisa jibu utalipata baada ya week.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa kila anachokifanya Diamond lazima nae atajikakamua kukifanya Diamond anamiliki WCB na Wasafi TV ,nae kajitutumua anataka kumiliki AlikibaTv,mara Ditector wa Rockstar alafu mwisho wa siku sijui vitu vyake vinaishiaga wapi.


Anapenda kiki ila anajificha ktk mgongo wa Diamond ,hapa kati katoa maboko kibao,kakaa chini akaaona hapa hili nitrend nimtumie Hamisa kama Video vixen,kweli strategical mpaka sasa kafaulu,sasa tujiulize hili Dodo watu wamelipenda sababu ya Kiba au Hamisa jibu utalipata baada ya week.
Naona umeandika vitu vilivyo kwenye akili yangu.
 
Huyu jamaa kila anachokifanya Diamond lazima nae atajikakamua kukifanya Diamond anamiliki WCB na Wasafi TV ,nae kajitutumua anataka kumiliki AlikibaTv,mara Director wa Rockstar alafu mwisho wa siku sijui vitu vyake vinaishiaga wapi.


Anapenda kiki ila anajificha ktk mgongo wa Diamond ,hapa kati katoa maboko kibao,kakaa chini akaaona hapa hili nitrend nimtumie Hamisa kama Video vixen,kweli strategical mpaka sasa kafaulu,sasa tujiulize hili Dodo watu wamelipenda sababu ya Kiba au Hamisa jibu utalipata baada ya week.
Nje ya maada kidogo una maana gani kujiita 0719?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha lowasa alisema Elimu!! Elimu! Elimu!
Hivi umeilewa vizur hiyo habari? Ni hivi unatakiwa usubscribe youtube channel ya Kiba, au ufollow page yake fb au uwe karibu na tv zote kubwa dunian kama soundicity ili badae uweze kupata nafas ya kushuhudia tukio hilo la kihistoria la uzinduzi wa Alikibatv.
Bro vipi ilishazinduliwa?
 
Back
Top Bottom