Msanii wa siku nyingi wa bongo movie Jb amestaafu kuigiza bongo movie,

Siangaliagi hizo muvi zao wanazoita bongo mubi ila nafikiri wamekufa rasmi walipojipeleka kule mbeya wakati wa kampeni za 2015 na kuingia ubia na maccm..njaa ya muda mfupi imeua shibe ya mda mrefu,.aende zake na apotee kabisa...kuna kipindi hili jamaa lilikuwa jirani yangu maeneo ya ubungo karibu na jeshini,mambo yanamsitiri...
 
hahaaa
 
Kanumba alikufa na bongo movie yake
 
neno kustaafu linatumika vibaya sana siku hz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…