hahaaaHuyu mtu ndo simuangaliagi kabisa. Yaani yeye na wanawake kila akicheza filamu inaboa ukizingatia kwamba vijana ambao bado wanahitaji kuongozwa wakiona maisha anayoigiza wanahisi ni ya kweli hivyo wao pia hujikuta wanachukua tabia zile.
Astaafu tu. Mimi Sipendi ujinga
Kanumba alikufa na bongo movie yakeSekta hii inaelekea kuzama inahitaji aibuke mtu mwenye kiu ya kufika mbali kama alivyoibuka diamond kwenye mziki ndipo wengine nao watafuta.
Hawawekezi vya kutosha kwenye production, unakuta mtu mmoja ndiye anaandika script za 80% ya movies zao.
Hawakk serious, budget ndogo, wanaangalia zaidi makalio na maumbo ya waigizaji wa kike kuliko vipaji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwelisijui mabeki tatu wataangalia nini?