Msanii wa Vituko Show taabani kiuchumi

Tujiulize kwanza kwanini wengine hawalalamiki maisha yakienda kombo kwanini iwe wasanii tu na ni kwanini nimsaidie mtu ambaye naye alikuwa na maisha yake mbona naye hakusaidia wenzake.Kila mtu na aubebe msalaba wake,tusitake sifa hapa za kujifanya eti tuna huruma sana,kama una huruma basi tuwasidie watoto yatima wasio na mbele wala nyuma. Mzee Cleopa msuya alisema umefika wakati sasa kila mtu abebe msalaba wake na huo ndio ukweli wenyewe.Hakuna mtu asiyejua maisha ya wasanii na hao wa muziki wa kizazi kipya wanavyofuja maisha ,halafu baadae utasikia oh tuwasaidie oh wamelitangaza taifa na tunasahau kuwa kila mtu anachangia ujenzi wa taifa kwa nafasi aliyonayo.
 

Maisha hua hayako hivyo! Sio wote walioko Magerezani wanahatia, binadamu tumeumbwa tofauti, usimhukumu mtu kabla ya kumpa nafasi ya kumsaidia. Wapo wengine wanauwezo wa kuweka wakili na wakapindisha sheria, wapo wengine hawana uwezo wa kujitetea kabisa na kubaki kulia. Inahitaji watu wenye akili timamu sana kuwasaidia wanadamu wenzao walioko kwenye matatizo bila kuwakejeli kwamba wamejitakia wenyewe. Nobody is perfect, and everybody deserves a second chance. Sio wasanii wote wapo kwenye hali walizonazo eti kwasababu wanafuja maisha yao. Kuna kundi kubwa la watu wanaishi kwa ujanja ujanja tu kwa kwatumia jasho la wenzao. Wasanii ni watu ambao tunaona kazi zao katika majumba yetu kila siku! Haiwezikani ikawa idadi kubwa ya wasanii hawa wewe wanafuja maisha yao na idadi ndogo sana ndio ifanikiwe. Sihitaji kurudia katika posti zilizo pita kuhusu hali hii, rudia na usome post zote utapata majibu katika ninacho kwambia. It is easy to blame then to help. Hapa tunacho fanya sisi ni kuionyesha jamii kua, kuna tatizo. Watu wanahaki kujua mambo haya!

Ni vizuri kila mtu akapewa nafasi ya kuhukumiwa peke yake na sio Hukumu za jumla kama zinazotolewa na baadhi ya watu tunapokua tunajadili matatizo ya jamii.

Anyway, hua tunatofautiana uelewa. Lets be objective and rather not subjective.
 

true true true true.
 
Hebu toa hiyo miwani unatumia simu nini?Swali pia sijalielewa.

Hahaha! Mkuu imebidi ni cheke! nilikusudia hawajakaa vizuri kivipi? Na hili neno ''dhamani'' sijalielewa mkuu.
 
true true true true.

Pia tatizo nadhani wengi wetu tunadhani mzee Tofi kaibuka tu from no where, la hasha....nimeshaona baadhi ya michezo yake, wakiwa na Mzee Majuto enzi hizo (sema kama nilivyosema picha zipo kwenye poor quality)..ni miaka ya mwisho ya themanini na mwanzo ya tisini, so hata recording zake hazikuwa proper.

Sijui kama mtaamini Mzee Tofi alikuwa anavunja mpaka mapigo ya breakdance ya MJ....Wakazi wa Tanga wanaweza kumuelezea vizuri zaidi.
 
Jamaa alikua mahiri zaidi au sambamba na Mzee Majuto. Nipo angalia kazi zake hujawa sana na huzuni, vile ambavyo yuko leo.
 
Sikua najua kuwa huyu bingwa pia anaruka brakedance.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…