Msanii Willy Paul ameonesha umma kuwa ni jinsi gani ni kijana wa ovyo

Msanii Willy Paul ameonesha umma kuwa ni jinsi gani ni kijana wa ovyo

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Taharuki iliyotokea Kenya haina mashiko zaidi ya ujinga

Diamond Platnumz ni msanii mkubwa Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla wala haina haja ya kubisha kufanya hivyo ni kukumbatia ubishi

Anaempa binadamu ukubwa ni Muumba na huwezi kulazimisha kuthaminika ikiwa watu hawakuthamini

Huyu kijana Willy anadai kuwa Wasanii wa Kenya hawathaminiki, wasiowathamini wanaona wenyewe kuwa hawana thamani

Binadamu wao wenyewe ndio wanachagua wa kumthamini baada ya kuona mashiko

Kupanda jukwaani kabla ya Diamond Platnumz hakumpi thamani huyo kijana wa hovyo na anaepaswa kukiri ujinga wake

Diamond Platnumz aliondoka baada ya kuona ni jambo la kijinga kubishana na watoto wadogo na sii vinginevyo

Kumekuwa na tetesi kuwa Wakenya wanajipa ukuu kwa kudai wanafahamu lugha ya Kiingereza huu nao ni ulimbukeni wa watu wa hovyo

Bara la Afrika linafahamu kuzungumza lugha ya Kiingereza kwa ufasaha mkubwa sana

Nchi ya Tanzania ina maprofesa wakubwa wa lugha za kigeni ikiwemo Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, Kilatini, Kireno na nyinginezo nyingi na wamekuwa wakitumia lugha hizi sehemu sahihi hasa kufundisha Vyuo Vikuu vya ndani na nje ya nchi

Nchi ya Tanzania imejifunza heshima na utu ndiyo maana Wanachi wake hawaoni sawa kutumia lugha za nje wakiwa ndani ya Tanzania wakiona kufanya hivyo ni kuidharau lugha ya Kiswahili na watu wake ndiyo maana wamekuwa wakitumia lugha za nje sehemu zenye ulazima wa kuzitumia na sio kwamba hawafahamu Kiingereza

Jambo jingine ni kuwa nchi za nje zimeipenda lugha ya Kiswahili na kujifunza kwa kasi kubwa kwahiyo dunia nzima inaipenda lugha ya Kiswahili mfano Richard Mabala anawakilisha vizuri mapenzi yake makubwa kwa lugha ya Kiswahili tangu zamani na wengineo kama Bongo Zozo nakadhalika

Maendeleo ya Tanzania yamepatikana kwa kupitia lugha ya Kiswahili mfano ujenzi wa Ikulu ya Chamwino imejengwa na Watanzania wakizungumza Kiswahili wakati wa kazi hatukusikia wakichanganya zege kwa kutumia lugha ya kingereza

Kuifahamu lugha ya Kiingereza ni kuwafahamu wazungu ambao wao wanataka kufahamu lugha ya Kiswahili kwahiyo maana yake ni kupishana

Ukubwa wa Wakenya uonekane kupitia maendeleo ikiwemo sanaa, michezo, siasa, biashara, sayansi na tekinolojia na sio lugha

Wajiulize swali baada ya kufahamu lugha ya Kiingereza wakafanya nini? Au ikawapa maendeleo yapi? Je imewapa maendeleo ama ni maneno matupu kama Kasuku?

Kufahamu lugha ya Kiingereza na kutokufanya maendeleo ni sawa na Kasuku anayekariri maneno matupu asiyofahamu yatamsaidiaje

Kwahiyo Diamond Platnumz ili azidi kufika mbali aendelee kuwapuuza watu wa hovyo kama hawa
 
Mi nafikiri kijana Willy Paul ana akili kidogo. Yeye anajijua hana umaarufu wala uwezo kuliko Mwamba kabisa Diamond Plutnamz. Sasa akapiga hesabu, akitangulia kuimba Mwamba kabisa Diamond Plutnamz yeye ataweza kulipiku vibe la Diamond? Na je, ikitokea watu wakaondoka baada ya Mwamba kabisa Diamond Plutnamz kuimba si ataaibika?
 
Achana na hao wapuuzi...mi SI fan wa mond ila kwa hili nampa big up...hakuna kuendekeza kiki kwenye project za watu..kama muda wa kuperform ulishapangwa kwa nini usingefuatiliwa tu...wao badala waone Hilo wanakuja na hoja nyepesi kuwa wanajua kiingereza...
 
Ndio sababu huu umoja wa Afrika Mashariki mimi naona hautufai. Hatuwezi kuungana na maumbwa umbwa hawana ustaarabu hata kidogo. Wanatudharau na maneno ya shombo na kujifanya matawi ya juu wakati maisha yanawachapa Mungu anajua
 
Taharuki iliyotokea Kenya haina mashiko zaidi ya ujinga

Diamond Platnumz ni msanii mkubwa Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla wala haina haja ya kubisha kufanya hivyo ni kukumbatia ubishi

Anaempa binadamu ukubwa ni Muumba na huwezi kulazimisha kuthaminika ikiwa watu hawakuthamini

Huyu kijana Willy anadai kuwa Wasanii wa Kenya hawathaminiki, wasiowathamini wanaona wenyewe kuwa hawana thamani

Binadamu wao wenyewe ndio wanachagua wa kumthamini baada ya kuona mashiko

Kupanda jukwaani kabla ya Diamond Platnumz hakumpi thamani huyo kijana wa hovyo na anaepaswa kukiri ujinga wake

Diamond Platnumz aliondoka baada ya kuona ni jambo la kijinga kubishana na watoto wadogo na sii vinginevyo

Kumekuwa na tetesi kuwa Wakenya wanajipa ukuu kwa kudai wanafahamu lugha ya Kiingereza huu nao ni ulimbukeni wa watu wa hovyo

Bara la Afrika linafahamu kuzungumza lugha ya Kiingereza kwa ufasaha mkubwa sana

Nchi ya Tanzania ina maprofesa wakubwa wa lugha za kigeni ikiwemo Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, Kilatini, Kireno na nyinginezo nyingi na wamekuwa wakitumia lugha hizi sehemu sahihi hasa kufundisha Vyuo Vikuu vya ndani na nje ya nchi

Nchi ya Tanzania imejifunza heshima na utu ndiyo maana Wanachi wake hawaoni sawa kutumia lugha za nje wakiwa ndani ya Tanzania wakiona kufanya hivyo ni kuidharau lugha ya Kiswahili na watu wake ndiyo maana wamekuwa wakitumia lugha za nje sehemu zenye ulazima wa kuzitumia na sio kwamba hawafahamu Kiingereza

Jambo jingine ni kuwa nchi za nje zimeipenda lugha ya Kiswahili na kujifunza kwa kasi kubwa kwahiyo dunia nzima inaipenda lugha ya Kiswahili mfano Richard Mabala anawakilisha vizuri mapenzi yake makubwa kwa lugha ya Kiswahili tangu zamani na wengineo kama Bongo Zozo nakadhalika

Maendeleo ya Tanzania yamepatikana kwa kupitia lugha ya Kiswahili mfano ujenzi wa Ikulu ya Chamwino imejengwa na Watanzania wakizungumza Kiswahili wakati wa kazi hatukusikia wakichanganya zege kwa kutumia lugha ya kingereza

Kuifahamu lugha ya Kiingereza ni kuwafahamu wazungu ambao wao wanataka kufahamu lugha ya Kiswahili kwahiyo maana yake ni kupishana

Ukubwa wa Wakenya uonekane kupitia maendeleo ikiwemo sanaa, michezo, siasa, biashara, sayansi na tekinolojia na sio lugha

Wajiulize swali baada ya kufahamu lugha ya Kiingereza wakafanya nini? Au ikawapa maendeleo yapi? Je imewapa maendeleo ama ni maneno matupu kama Kasuku?

Kufahamu lugha ya Kiingereza na kutokufanya maendeleo ni sawa na Kasuku anayekariri maneno matupu asiyofahamu yatamsaidiaje

Kwahiyo Diamond Platnumz ili azidi kufika mbali aendelee kuwapuuza watu wa hovyo kama hawa
Anaempa binadamu ukubwa ni Muumba na huwezi kulazimisha kuthaminika ikiwa watu hawakuthamini📌🔨
 
Mi nafikiri kijana Willy Paul ana akili kidogo. Yeye anajijua hana umaarufu wala uwezo kuliko Mwamba kabisa Diamond Plutnamz. Sasa akapiga hesabu, akitangulia kuimba Mwamba kabisa Diamond Plutnamz yeye ataweza kulipiku vibe la Diamond? Na je, ikitokea watu wakaondoka baada ya Mwamba kabisa Diamond Plutnamz kuimba si ataaibika?
Hili kosa limemvunjia sana heshima
 
Taharuki iliyotokea Kenya haina mashiko zaidi ya ujinga

Diamond Platnumz ni msanii mkubwa Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla wala haina haja ya kubisha kufanya hivyo ni kukumbatia ubishi

Anaempa binadamu ukubwa ni Muumba na huwezi kulazimisha kuthaminika ikiwa watu hawakuthamini

Huyu kijana Willy anadai kuwa Wasanii wa Kenya hawathaminiki, wasiowathamini wanaona wenyewe kuwa hawana thamani

Binadamu wao wenyewe ndio wanachagua wa kumthamini baada ya kuona mashiko

Kupanda jukwaani kabla ya Diamond Platnumz hakumpi thamani huyo kijana wa hovyo na anaepaswa kukiri ujinga wake

Diamond Platnumz aliondoka baada ya kuona ni jambo la kijinga kubishana na watoto wadogo na sii vinginevyo

Kumekuwa na tetesi kuwa Wakenya wanajipa ukuu kwa kudai wanafahamu lugha ya Kiingereza huu nao ni ulimbukeni wa watu wa hovyo

Bara la Afrika linafahamu kuzungumza lugha ya Kiingereza kwa ufasaha mkubwa sana

Nchi ya Tanzania ina maprofesa wakubwa wa lugha za kigeni ikiwemo Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, Kilatini, Kireno na nyinginezo nyingi na wamekuwa wakitumia lugha hizi sehemu sahihi hasa kufundisha Vyuo Vikuu vya ndani na nje ya nchi

Nchi ya Tanzania imejifunza heshima na utu ndiyo maana Wanachi wake hawaoni sawa kutumia lugha za nje wakiwa ndani ya Tanzania wakiona kufanya hivyo ni kuidharau lugha ya Kiswahili na watu wake ndiyo maana wamekuwa wakitumia lugha za nje sehemu zenye ulazima wa kuzitumia na sio kwamba hawafahamu Kiingereza

Jambo jingine ni kuwa nchi za nje zimeipenda lugha ya Kiswahili na kujifunza kwa kasi kubwa kwahiyo dunia nzima inaipenda lugha ya Kiswahili mfano Richard Mabala anawakilisha vizuri mapenzi yake makubwa kwa lugha ya Kiswahili tangu zamani na wengineo kama Bongo Zozo nakadhalika

Maendeleo ya Tanzania yamepatikana kwa kupitia lugha ya Kiswahili mfano ujenzi wa Ikulu ya Chamwino imejengwa na Watanzania wakizungumza Kiswahili wakati wa kazi hatukusikia wakichanganya zege kwa kutumia lugha ya kingereza

Kuifahamu lugha ya Kiingereza ni kuwafahamu wazungu ambao wao wanataka kufahamu lugha ya Kiswahili kwahiyo maana yake ni kupishana

Ukubwa wa Wakenya uonekane kupitia maendeleo ikiwemo sanaa, michezo, siasa, biashara, sayansi na tekinolojia na sio lugha

Wajiulize swali baada ya kufahamu lugha ya Kiingereza wakafanya nini? Au ikawapa maendeleo yapi? Je imewapa maendeleo ama ni maneno matupu kama Kasuku?

Kufahamu lugha ya Kiingereza na kutokufanya maendeleo ni sawa na Kasuku anayekariri maneno matupu asiyofahamu yatamsaidiaje

Kwahiyo Diamond Platnumz ili azidi kufika mbali aendelee kuwapuuza watu wa hovyo kama hawa
Mr Why Kila siku unamtetea Mrs pdidy?
Au na wewe una pididiwa na Mrs pdidy?
 
Taharuki iliyotokea Kenya haina mashiko zaidi ya ujinga

Diamond Platnumz ni msanii mkubwa Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla wala haina haja ya kubisha kufanya hivyo ni kukumbatia ubishi

Anaempa binadamu ukubwa ni Muumba na huwezi kulazimisha kuthaminika ikiwa watu hawakuthamini

Huyu kijana Willy anadai kuwa Wasanii wa Kenya hawathaminiki, wasiowathamini wanaona wenyewe kuwa hawana thamani

Binadamu wao wenyewe ndio wanachagua wa kumthamini baada ya kuona mashiko

Kupanda jukwaani kabla ya Diamond Platnumz hakumpi thamani huyo kijana wa hovyo na anaepaswa kukiri ujinga wake

Diamond Platnumz aliondoka baada ya kuona ni jambo la kijinga kubishana na watoto wadogo na sii vinginevyo

Kumekuwa na tetesi kuwa Wakenya wanajipa ukuu kwa kudai wanafahamu lugha ya Kiingereza huu nao ni ulimbukeni wa watu wa hovyo

Bara la Afrika linafahamu kuzungumza lugha ya Kiingereza kwa ufasaha mkubwa sana

Nchi ya Tanzania ina maprofesa wakubwa wa lugha za kigeni ikiwemo Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, Kilatini, Kireno na nyinginezo nyingi na wamekuwa wakitumia lugha hizi sehemu sahihi hasa kufundisha Vyuo Vikuu vya ndani na nje ya nchi

Nchi ya Tanzania imejifunza heshima na utu ndiyo maana Wanachi wake hawaoni sawa kutumia lugha za nje wakiwa ndani ya Tanzania wakiona kufanya hivyo ni kuidharau lugha ya Kiswahili na watu wake ndiyo maana wamekuwa wakitumia lugha za nje sehemu zenye ulazima wa kuzitumia na sio kwamba hawafahamu Kiingereza

Jambo jingine ni kuwa nchi za nje zimeipenda lugha ya Kiswahili na kujifunza kwa kasi kubwa kwahiyo dunia nzima inaipenda lugha ya Kiswahili mfano Richard Mabala anawakilisha vizuri mapenzi yake makubwa kwa lugha ya Kiswahili tangu zamani na wengineo kama Bongo Zozo nakadhalika

Maendeleo ya Tanzania yamepatikana kwa kupitia lugha ya Kiswahili mfano ujenzi wa Ikulu ya Chamwino imejengwa na Watanzania wakizungumza Kiswahili wakati wa kazi hatukusikia wakichanganya zege kwa kutumia lugha ya kingereza

Kuifahamu lugha ya Kiingereza ni kuwafahamu wazungu ambao wao wanataka kufahamu lugha ya Kiswahili kwahiyo maana yake ni kupishana

Ukubwa wa Wakenya uonekane kupitia maendeleo ikiwemo sanaa, michezo, siasa, biashara, sayansi na tekinolojia na sio lugha

Wajiulize swali baada ya kufahamu lugha ya Kiingereza wakafanya nini? Au ikawapa maendeleo yapi? Je imewapa maendeleo ama ni maneno matupu kama Kasuku?

Kufahamu lugha ya Kiingereza na kutokufanya maendeleo ni sawa na Kasuku anayekariri maneno matupu asiyofahamu yatamsaidiaje

Kwahiyo Diamond Platnumz ili azidi kufika mbali aendelee kuwapuuza watu wa hovyo kama hawa

Nafikiri umeongelea issue ya Kiingereza Kama subject bila sababu, sasa Ya Diamond imekaaje?

Maana mambo ya kiingereza ni ujinga usio na Sababu ya kuujibu!
 
20Tsh=1Ksh...tupapande tuwapite na huo

Mkuu hii haina maana wako juu kimaisha hicho ni kiini macho tu.
Hao watu wamejazana Saudi kwa mshahara wa $200 per month. Si bora nibaki Dar es salaam nifanye umachinga.
 
Nafikiri umeongelea issue ya Kiingereza Kama subject bila sababu, sasa Ya Diamond imekaaje?

Maana mambo ya kiingereza ni ujinga usio na Sababu ya kuujibu!
Lugha ya Kiingereza ndio umekuwa wimbo wao wa kujiona watu bora East Afrika jambo ambalo ni ulimbukeni katika bongo zao. Wamewahi kumsimanga Diamond Platnumz kuwa hafahamu Kiingereza lakini kinachowauma nikuona yupo juu ndio maana wamemfanyia ujinga.
 
Back
Top Bottom