Msanii Willy Paul ameonesha umma kuwa ni jinsi gani ni kijana wa ovyo

Lugha ya Kiingereza ndio umekuwa wimbo wao wa kujiona watu bora East Afrika jambo ambalo ni ulimbukeni katika bongo zao. Wamewahi kumsimanga Diamond Platnumz kuwa hafahamu Kiingereza lakini kinachowauma nikuona yupo juu ndio maana wamemfanyia ujinga.

Unachezaje na kuujibu wimbo wa Mpumbavu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…