Chaos Master
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 636
- 1,310
Msanii Wizkidayo Ameweka Rekodi Ya Kuwa Msanii Muafrika Wa Kwanza Kufikisha Zaidi Ya Streams Milioni 300 Katika Mtandao Wa Kusikilizia Muziki Wa Audiomack, Audiomack Wameshare Taarifa Hiyo Katika Ukurasa Wao Wa Instagram Huku Wakimpongeza Msanii Huyo Kuweka Rekodi Hiyo.
Saa moja Baada Ya Wizkid ayo kufikisha Burna Boy Naye Amefanikiwa Kufikisha Streams Milioni 300 Katika Mtandao Huo Wa Audiomack Na Hii Kumfanya Kuwa Msanii Wa Pili Kuweka Rekodi Hiyo Katika Mtandao Huo.
Saa moja Baada Ya Wizkid ayo kufikisha Burna Boy Naye Amefanikiwa Kufikisha Streams Milioni 300 Katika Mtandao Huo Wa Audiomack Na Hii Kumfanya Kuwa Msanii Wa Pili Kuweka Rekodi Hiyo Katika Mtandao Huo.