Msanii zuchu kutambulisha EP yake leo

Msanii zuchu kutambulisha EP yake leo

Watu mnasahau kitu kimoja kwenye hii game - branding. Wimbo wa Mziwanda uliofeli akiuimba hivyo hivyo Mondi au Konde unahit sababu gani? Branding. Wimbo wa Mondi/Konde akiimba hivyo hivyo Mziwanda ukabuma sababu gani? Branding. Huyu Zuchu ni mtoto wa Khadiaj Kopa ambae ni brand kubwa. Kwa hiyo pale WCB wamepanua brand yao kwa kusaini mtu ambae ni brand. Na ndio maana siku ya uzinduzi na Kopa ali perform.
Yule Zuchu si mkali kivile (labda tuone ukali wake baadae) ila yule ni brand tayari. Si ajabu asingekua mtoto wa Kopa asingesainiwa. Ndio biashara ya entertainment ilivyo.

Huko nje watoto wa mastar anaingizwa kwenye movie kubwa na wenye uwezo zaidi yao wanaachwa sababu ya kuangalia branding kwenye biashara. Kwa hiyo ukiniambia nifananishe usajili wa Zuchu (WCB) na Ibra (KMW) nasema Zuchu wamepiga bao mbali sana kulinganisha na Ibra !!!
 
WCB sasa inaelekea kuwa na wasanii wa aina moja; Huyu Zuchu nimesikiliza nyimbo zake zina mahadhi ya mwambao/kaswida kama za Mbosso na Lavalava. Katika nyimbo zote hakuna ulionistua, naona kama za kawaida, pengine sina sikio zuri la muziki ngoja nijipe muda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ulitaka yakuchezeka ndo maana lakini hiyo ngoma ipo poa kuanzia beat, Melody mpaka mashairi ulikuwa unataka Nini zaidi ya hivyo
Anayekwambia ukweli anakupenda .
Kubali kuupokea ukweli hata kama unauma.

Ki msingi hizo nyimbo za zuchu hazina msisimko. Label aliyopo ni kubwa kuliko uwezo wake maana uimbaji wake ni wa kawaida mnoooo
 
WCB sasa inaelekea kuwa na wasanii wa aina moja; Huyu Zuchu nimesikiliza nyimbo zake zina mahadhi ya mwambao/kaswida kama za Mbosso na Lavalava. Katika nyimbo zote hakuna ulionistua, naona kama za kawaida, pengine sina sikio zuri la muziki ngoja nijipe muda

Sent using Jamii Forums mobile app

Hauna sikio zuri la mziki kabisa [emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu tuacheni unafiki, mbona ally kiba anaimba style hizi hizi na anakimbiza??

wcb wanamsign mtu kwa kuangalia anakipaji na sio aina ya uimbaj sijui za taratbu au zakuchezeka...

kama zuchu, lavalava na mbosso wanaboa basi hata kiba ni mulele
 
Kweli siku hizi sifuatilii muziki yaani wimbo hadi una view 1m+ ila sijawahi kuusikia!! Au sio mzuri? Maana wimbo mzuri utakufata wenyewe hata usipoufata
Labda uzee unatusumbua.
 
Watu mnasahau kitu kimoja kwenye hii game - branding. Wimbo wa Mziwanda uliofeli akiuimba hivyo hivyo Mondi au Konde unahit sababu gani? Branding. Wimbo wa Mondi/Konde akiimba hivyo hivyo Mziwanda ukabuma sababu gani? Branding. Huyu Zuchu ni mtoto wa Khadiaj Kopa ambae ni brand kubwa. Kwa hiyo pale WCB wamepanua brand yao kwa kusaini mtu ambae ni brand. Na ndio maana siku ya uzinduzi na Kopa ali perform.
Yule Zuchu si mkali kivile (labda tuone ukali wake baadae) ila yule ni brand tayari. Si ajabu asingekua mtoto wa Kopa asingesainiwa. Ndio biashara ya entertainment ilivyo.

Huko nje watoto wa mastar anaingizwa kwenye movie kubwa na wenye uwezo zaidi yao wanaachwa sababu ya kuangalia branding kwenye biashara. Kwa hiyo ukiniambia nifananishe usajili wa Zuchu (WCB) na Ibra (KMW) nasema Zuchu wamepiga bao mbali sana kulinganisha na Ibra !!!
Maneno mengi kumuelezea Msanii wa kawaida....


Lavalava Licha ya kuwa wcb ni msanii ambae hata sebule hajazi kwa show Yake mwenyewe...


Unazungumzia brand ya Khadija kopa na zuchu , vipi brand ya Quuen Darleen na kaka yake diamond!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno mengi kumuelezea Msanii wa kawaida....


Lavalava Licha ya kuwa wcb ni msanii ambae hata sebule hajazi kwa show Yake mwenyewe...


Unazungumzia brand ya Khadija kopa na zuchu , vipi brand ya Quuen Darleen na kaka yake diamond!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakupata. Kwa hiyo una maana brand haina faida au una maana gani?
 
Back
Top Bottom