playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Hahahahahaaaaaaa kaka promo lote kumbe hata jinsi yake watu hawamjui.Kumbe zuchu ni mdada??
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaaaaaaa kaka promo lote kumbe hata jinsi yake watu hawamjui.Kumbe zuchu ni mdada??
Si kuna misukule kaka kitu siyo kitu kwao kitu ili waonekane bora...hamna ngoma pale usije hata jisumbua labda tusubiri hizi za kwenye EP.Kweli siku hizi sifuatilii muziki yaani wimbo hadi una view 1m+ ila sijawahi kuusikia!! Au sio mzuri? Maana wimbo mzuri utakufata wenyewe hata usipoufata
Labda tusubiri hizi kadhaa za kwenye EP siyo ule uchafu mnaotaka kutuaminisha ni ngoma Kali.Msanii mpya wa kike wa WCB leo atazindua EP yake baada ya kutoa single song yake ya "Wana" ambayo Hadi sasa Ina viewers million 1+ kwa siku 2 Pekee nakuwa msanii wa kwanza wa kike ambayo ngoma yake ya kwanza imefika million 1 kwa siku mbili tu.
Ngoma hizo ambazo zipo kwenye EP yake ni Kama zifuatazo
1.Hakuna kulala
2.Nisamehe
3.Kwaru
4.Wana
5.RahaView attachment 1416914View attachment 1416915
Hahahahahahaaaaaaaaa kwamba fuso likiwa linapiga breki mlimani ndo inatoka sauti ZU CHUUUUUU...ZUCHUUUUUU ah jamiiforum hapana aiseeJina lenyewe bayaaa Kama vile fuso lipo kwenye mteremko linapiga stop engine zuchuuu zuchuuu
Sent from my I phone
The best was finished, now is tym for rubbish to trend...especially from WCB ...Mbosso bado yupo vizuri the rest mmmmhKweli wcb taifa kubwa sijui mondi aliturogea nini
Aisee.japo wimbo ni wa kawaida ,I believe the best is yet to come
To be honest, iam the one among..thanx boss.Kuna mtu naweza nikawa nimemsaidia kwa hili
An extended play record, often referred to as an EP, is a musical recording that contains more tracks than a single, but is usually unqualified as an album
Tupe na Youtube kidogoKwani wengine wamekatazwa kutembelea uwezo wa maboss wao?
Nyie pigeni kelele ila mwisho wa SIKU NUMBER na MUDA zitaongea.
View attachment 1416983
Hakuna extra power bro....angalia wanavyokukuruka yutubu kule hahahahaaaaWimbo mbaya kinoma..In my opinion..Yaani huwezi kulinganisha na debut za kina Harmonize(aiyola),Rayvanny(Kwetu) na hata Wale madogo wengine
Sema hawa WCB kama wachawi vile..they have an extra power
Nahisi mashabiki wa WCB ndo wana hisia Kali kuliko waigizaji wa KIHINDI hawa hawataki hata kumsikia KONDE BOY wakati walimtukuza kwa Kila aina ya sifa kama mlimsapot kwa sababu ya uwezo wake kwann sasa mnamponda HISIA.We endelea kuongozwa na HISIA ila mwisho wa SIKU si tutaangalia NUMBER kwani NUMBER hazidanganyi.
Ukisema hivyo unaonekana hater.In my Opinion..
Nasikiliza genre mbalimbali za muziki,so nina standard..
Huyu msanii angekuwa hayupo WCB hata 50k asingekuwa amepata
Ana nafasi ya kuimprove..uimbaji wake wakawaida sana
Yeye kazungumzia Muziki mzuri usimuwekee maneno mdomoni mwake na kampa nafas ya Ku improve so kama atafanya vizuri huweza akaja na maoni tofauti kimsingi hata kwangu WIMBO WA KAWAIDA MNO...let's wait hizo zilizopo kwenye EP.Wewe ulitaka yakuchezeka ndo maana lakini hiyo ngoma ipo poa kuanzia beat, Melody mpaka mashairi ulikuwa unataka Nini zaidi ya hivyo
Dish limeyumba na nati zimedondoka.Nahisi mashabiki wa WCB ndo wana hisia Kali kuliko waigizaji wa KIHINDI hawa hawataki hata kumsikia KONDE BOY wakati walimtukuza kwa Kila aina ya sifa kama mlimsapot kwa sababu ya uwezo wake kwann sasa mnamponda HISIA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muziki wa BWANI ndo upi kaka?...acha kutetemeka hadi unakosea kuandika...usimlazimishe mtu apende unachopenda wewe kaka ushaambiwa hakuna kitu pale siyo habari ya kumshauri mtu eti usikize Mara nyingi utaupenda Hahahahahahaaaa...hali ni ngumuKasikilize vizuri Tena Mara kwa Mara utaupenda na utavuta comment yako ulioandika huyu dada ni fundi na best vocalist na ameshiriki kwenye shindano la vipaji la Tecno own stage lililofanyika Nigeria kwa Tanzania walitoka wawili tu Nandy na Zuchu mwenyewe na pia zuchu alikuwa ndio anategeneza jingle nyingi pale Wasafi.Tukija kwenye wimbo wake huu kachanganya vitu vitatu bongo fleva, mziki wa bwani na ladha ya kihindi kwa mbali huo ndio ubunifu wenyewe na Jambo zuri kwa huyu dada si tu anaimba lakini ni writer mzuri ana andika nyimbo mwenyewe, uandishi wa huo wimbo ni mzuri Sana lakini pia ni wimbo wa kudumu huwezi kuuchoka kusikiliza kiufupi huyu dada ni fundi.
Hivi hadi umlipishe mtu mil 600 manake wakati upo nae hakuwai kukuingizia faida au ndo faida alizoingiza tuna + na hiyo mil 600???...mtoto wa watu alikuwa na njaa ya kutoka tu ndo maana aliingia mkataba wa ki KENGE utapeli,dhuluma tupu.mnasemaga hivi ila baadae wakiambiwa gharama za kuvunja mkataba ni milioni 600 mnaanza kusema Diamond mnyonyaji mnasahau investment iliyofanywa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe lini ulisifia mjengoni na KING KIBA.Lini ushawahi kusifia WCB ww?
Wewe mpaka radio ulikuwa unaponda mpaka watangazaji wake ukafikia kusema,Mondi anapoteza hela yake siku hizi makampuni hayatoi matangazo.
Wamewachukua akina Jonijo ukasema "Madogo wenyewe hawajui,wanawaiga XXL".Juzi wamewachukua akina Kitenge na Dida ukasema "Mondi anapoteza hela zake siku makampuni yamepunguza matangazo".
Ila thread za Kiba na Mjengoni Clouds hapo unazipamba.Brother hii jamii forum usiwe mnafiki JF itakuumbua.
Dish limeyumba nati zimedondoka.
Aisifiaye mvua.
Kitu kimoja tu kimegoma mlitamani YouTube atrend namba 1 ili muingize kwenye rekod zenu za kulazimisha sema ndo kuna DODO pale Hahahahaaaa mmebuma vibaya.This is a History written in Africa for the first time. An upcoming artist with a million views less than 72 hrs...
Movements... Movies za WCB
Ndo hizi sasa.