Hbari wana JF.
Nilifanya Advance Diploma in Taxation IFM, Post Graduate Diploma in Accountancy IFM sasa nataka kusoma Masters ya Accounting and Finance UDSM lakini nimesikia unatakiwa kuwa na Experince ya kazi ya course unayotaka kusoma na mimi sina experince ya kazi kwenye Account and Finanace zaidi ya Taxation tu.
SWALI- je nitapata Admission kwa maelezo niliyotoa.
Nilifanya Advance Diploma in Taxation IFM, Post Graduate Diploma in Accountancy IFM sasa nataka kusoma Masters ya Accounting and Finance UDSM lakini nimesikia unatakiwa kuwa na Experince ya kazi ya course unayotaka kusoma na mimi sina experince ya kazi kwenye Account and Finanace zaidi ya Taxation tu.
SWALI- je nitapata Admission kwa maelezo niliyotoa.