Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Mnamo 3/ 5/ 20 RAIS John Magufuli alitengua uteuzi wa Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Laurean Rugambwa Bwanakunu, na badala yake kumteua Brig. Jen Dkt. Gabriel Sauli Mhidize kuchukua nafasi hiyo. Mhidize alikuwa Mkuu wa Hospitali ya Jeshi Lugalo.
LAKINI MSD bado inamlipa mshahara Bwanakunu kwa zaidi ya mwaka sasa kama Mkurugenzi Mkuu. Hii ni hujuma .
LAKINI MSD bado inamlipa mshahara Bwanakunu kwa zaidi ya mwaka sasa kama Mkurugenzi Mkuu. Hii ni hujuma .