MSD inalipa mshahara kwa mfanyakazi hewa (Laurean Bwanakunu)

MSD inalipa mshahara kwa mfanyakazi hewa (Laurean Bwanakunu)

Mnamo 3/ 5/ 20 RAIS John Magufuli alitengua uteuzi wa Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Laurean Rugambwa Bwanakunu, na badala yake kumteua Brig. Jen Dkt. Gabriel Sauli Mhidize kuchukua nafasi hiyo. Mhidize alikuwa Mkuu wa Hospitali ya Jeshi Lugalo.

LAKINI MSD bado inamlipa mshahara Bwanakunu kwa zaidi ya mwaka sasa kama Mkurugenzi Mkuu. Hii ni hujuma View attachment 1893960
kazi iendelee
 
Huyu alikuwa mfanyakazi wa fixed contract na siyo permanent and pensionable ambaye anateuliwa na Rais. Angekuwa ni permanent and pensionable baada ya kutenguliwa angerudi kwenye position yake ya zamani kama Fulchesmi Mramba wa TANESCO.

Hivyo Rais akikutengua ndiyo mwisho wa ajira na mshahara. Kinachoendelea MSD kumlipa ni UFISADI tu.
Nimeuliza hiyo fixed contract yake ilikuwa ya muda gani? Nani anayejua kwamba imeisha au imevunjwa? Je kama haijaisha wala kuvunjwa sio halali yake kulipwa as per contract?
 
Mnamo 3/ 5/ 20 RAIS John Magufuli alitengua uteuzi wa Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Laurean Rugambwa Bwanakunu, na badala yake kumteua Brig. Jen Dkt. Gabriel Sauli Mhidize kuchukua nafasi hiyo. Mhidize alikuwa Mkuu wa Hospitali ya Jeshi Lugalo.

LAKINI MSD bado inamlipa mshahara Bwanakunu kwa zaidi ya mwaka sasa kama Mkurugenzi Mkuu. Hii ni hujuma View attachment 1893960
Hawa ndio wanapenda CCM iendelee na hawataku kusikia Katiba mpya majizi haya.
 
Kwani kutenguliwa cheo chako,ndio umekutwa na hatia ya jinai?
Huyo CEO wa zamani Bado kesi yake haijafika mwisho,lazima aendelee kupokea mshahara,"inoccent until proven guilty"it's a universal law principal,
We ulitaka familia yake iteseke wakati hajahukumiwa?
Harafu kumbuka Mwendazake nae alikuwa mtu wa hovyo tu,alifukuza watu bila kufata sheria,aliifsnya nchi kama kampuni binafsi
Check facts zako upya. Huyu hana kesi kuanzia June 2020 na siyo mfanyakazi wa MSD. Yuko mtaani na miahe zake lakini anakula mshahara wa MSD.
 
Magufuli hakuwa na akili , alijua anawakomoa watu kumbe anawapa shavu, unatengua wakurugenzi 200 unateua wengine 200 bila kujua wale uliotengua wanaendelea kula mishahara ya ukurugenzi, ameiongezea nchi madeni ya ajabu sana, na kwakua alikua kichaa wala alikua hashauriwi na mtu, mfano kulazimisha serikali kuhamia Dodoma ni uamuzi wa kiendawazimu kabisa , kapoteza fedha bila hata sababu ya msingi
 
Mnamo 3/ 5/ 20 RAIS John Magufuli alitengua uteuzi wa Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Laurean Rugambwa Bwanakunu, na badala yake kumteua Brig. Jen Dkt. Gabriel Sauli Mhidize kuchukua nafasi hiyo. Mhidize alikuwa Mkuu wa Hospitali ya Jeshi Lugalo.

LAKINI MSD bado inamlipa mshahara Bwanakunu kwa zaidi ya mwaka sasa kama Mkurugenzi Mkuu. Hii ni hujuma View attachment 1893960
Wamtafutie kazi ya kufanya sio kumpa mshahara bila kazi. Wahusika na huu ubadhilifu yafaa wachukuliwe hatua.
 
Taratibu za kutenguliwa ziko vipi? kwani kutenguliwa ni sawa na kufukuzwa kazi?
Tatizo wengi walikuwa wanaenda kwa mihemko, akitumbuliwa mtumishi wa umma wanafikiri mshahara unasimamishwa, ukitaka kuipaka matope legacy fanya uchunguzi ni wangapi wamelipwa kwa style hii🐒
 
Huyu alikuwa mfanyakazi wa fixed contract na siyo permanent and pensionable ambaye anateuliwa na Rais. Angekuwa ni permanent and pensionable baada ya kutenguliwa angerudi kwenye position yake ya zamani kama Fulchesmi Mramba wa TANESCO.

Hivyo Rais akikutengua ndiyo mwisho wa ajira na mshahara. Kinachoendelea MSD kumlipa ni UFISADI tu.
Hiyo fixes Contract has no duration?kama wameona kuvunja mkataba itawagharimu hela nyingi,watakua sahihi kumlipa mshahara mpaka mwisho mwa mkataba
 
Stahiki (remuneration) za ile nafasi ndiyo hukoma mara baada ya kuondolewa madaraka uliyonayo.
Lkn mshahara ni haki yake, mpaka ajira itakapokoma.
Mkataba wake unasomeka vipi? Baada ya kuteuliwa mtu hupewa mkataba.Tusiongelee porojo weka mkataba
 
Mnamo 3/ 5/ 20 RAIS John Magufuli alitengua uteuzi wa Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Laurean Rugambwa Bwanakunu, na badala yake kumteua Brig. Jen Dkt. Gabriel Sauli Mhidize kuchukua nafasi hiyo. Mhidize alikuwa Mkuu wa Hospitali ya Jeshi Lugalo.

LAKINI MSD bado inamlipa mshahara Bwanakunu kwa zaidi ya mwaka sasa kama Mkurugenzi Mkuu. Hii ni hujuma View attachment 1893960
Ushahidi wa kuwa analipwa uko wapi?
 
Mkataba wake unasomeka vipi? Baada ya kuteuliwa mtu hupewa mkataba.Tusiongelee porojo weka mkataba

Hamna kitu kama mkataba wa uteuzi, ila kuna mkataba wa ajira. Uteuzi hufanywa kwa barua pekee.
 
Kwani kutenguliwa cheo chako,ndio umekutwa na hatia ya jinai?

Huyo CEO wa zamani Bado kesi yake haijafika mwisho,lazima aendelee kupokea mshahara,"inoccent until proven guilty"it's a universal law principal.

We ulitaka familia yake iteseke wakati hajahukumiwa?

Harafu kumbuka Mwendazake nae alikuwa mtu wa hovyo tu,alifukuza watu bila kufata sheria,aliifsnya nchi kama kampuni binafsi

ALIYEKUWA MKURUGENZI MSD AACHIWA HURU.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu hii leo imewaachia huru aliyekuwa Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa,Laurean Bwanakunu na Mkurugenzi wa Logistik,Byekwaso Tabura baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) kutoonyesha nia ya kutaka kuendelea na kesi hiyo
Bwanakunu na mwenzake walikuwa wakikabiliwa na mashitaka matano ikiwemo kusababishia MSD hasara ya Shilingi Bilioni 3.8 na kutakatisha fedha kiasi cha shilingi Bilioni 1.6.
Aidha kati ya Julai 2016 na Juni,30,2019 katika maeneo ya jiji la Dar es salaam Bwanakunu alidaiwa kuendesha genge la uhalifu pamoja na matumizi mabaya ya ofisi.

 
Hamna kitu kama mkataba wa uteuzi, ila kuna mkataba wa ajira. Uteuzi hufanywa kwa barua pekee.
Ok hiyo barua Ni mkataba pia hueleza terms zote.Kuanzia mshahara kipindi Cha kutumika na endapo hutataka kuendelea kwa sababu zozote iwe ugonjwa ,kifo etc au mteuzi atakupangia kazi ingine au kukutengua kabla ya muda inakuwaje.Nilishawahi ona barua ya mteuliwa mmojawapo aliteuliwa toka private sector kuwa mkuu wa idara moja ya serikali
 
Ok hiyo barua Ni mkataba pia hueleza terms zote.Kuanzia mshahara kipindi Cha kutumika na endapo hutataka kuendelea kwa sababu zozote iwe ugonjwa ,kifo etc au mteuzi atakupangia kazi ingine au kukutengua kabla ya muda inakuwaje.Nilishawahi ona barua ya mteuliwa mmojawapo aliteuliwa toka private sector kuwa mkuu wa idara moja ya serikali

Unaelewa maana ya mkataba wa ajira?
 
Back
Top Bottom