MSD inalipa mshahara kwa mfanyakazi hewa (Laurean Bwanakunu)

MSD inalipa mshahara kwa mfanyakazi hewa (Laurean Bwanakunu)

Hamna kitu kama mkataba wa uteuzi, ila kuna mkataba wa ajira. Uteuzi hufanywa kwa barua pekee.
Mimi mwenyewe nashangaa yani mtu ateuliwe tena na raisi alaf tena kuwe na mkataba ,kwa maana iyo ata hawa madc na wakurungenzi nao wana mikataba maana na wao wanateuliwa na raisi au mikataba ya kuteuliwa ni kwa baadhi ya taasisi ,na kama ni kweli kunakua na mikataba kwanini baada ya kutenguliwa aendelee na mshahara wake wa kazi ambayo afanyi yani cheo kimoja wanalipwa watu wawili kwanini baada ya kutenguliwa wasurudi katika nafasi zao kama walitoka uko ili alipwe mshahara anaofanyia kazi uku kulipa mishahara miwili kwa watu wawili tena mmoja katenguliwa ata kama ni sheria basi ni ufisadi
 
Hiyo fixes Contract has no duration?kama wameona kuvunja mkataba itawagharimu hela nyingi,watakua sahihi kumlipa mshahara mpaka mwisho mwa mkataba
Bwanakunu yuko highly connected na Ummy Mwalimu, atakula mshahara as long as Ummy anaendelea kuwa Waziri Serikalini, na hakuna mtu wa kupindua. Kwani kesi ya UFISADI ambayo TAKUKURU walimfungulia iliishia wapi? Mark this post.
 
Bwanakunu yuko highly connected na Ummy Mwalimu, atakula mshahara as long as Ummy anaendelea kuwa Waziri Serikalini, na hakuna mtu wa kupindua. Kwani kesi ya UFISADI ambayo TAKUKURU walimfungulia iliishia wapi? Mark this post.
Huo ni udhaifu wa waziri wa afya..Ummy yuko Tamisemi..Tupate katiba mpya,hawa mawaziri wawe wanachujwa na chombo maalumu..
 
Bwanakunu yuko highly connected na Ummy Mwalimu, atakula mshahara as long as Ummy anaendelea kuwa Waziri Serikalini, na hakuna mtu wa kupindua. Kwani kesi ya UFISADI ambayo TAKUKURU walimfungulia iliishia wapi? Mark this post.

 
Magufuli hakuwa na akili , alijua anawakomoa watu kumbe anawapa shavu, unatengua wakurugenzi 200 unateua wengine 200 bila kujua wale uliotengua wanaendelea kula mishahara ya ukurugenzi, ameiongezea nchi madeni ya ajabu sana, na kwakua alikua kichaa wala alikua hashauriwi na mtu, mfano kulazimisha serikali kuhamia Dodoma ni uamuzi wa kiendawazimu kabisa , kapoteza fedha bila hata sababu ya msingi
Mtu utendaji n hovyo,then umuache sababu unamlipa pa kubwa dunian haipo.
 
Hivi wakati tulipokuwa tunasoma Sekondari, ikitokea mwanafunzi akanyang'anywa nafasi tuseme ya ukiranja wa bweni kwa sababu ya kutokusimamamia vizuri usafi bwenini kwake, anafukuzwa shule pia?
Naanza kupata picha kuwa huyu mtu kuna uwezekano alifanyiwa majungu yaliyopelekea uteuzi wake kutenguliwa. Mtu ameondolewa kwenye ukurugenizi, hajafukuzwa kazi, bado kuna watu tena wanataka asipate mshahara, kwa nini?
Pengine mamlaka za uteuzi zinastahili kuliangalia upya swala la huyu mtu, anaweza kuwa alifanyiwa majungu halafu mamlaka zikashauriwa vibaya na kumtengua. Kwa nini bado kuna watu wanamfuatilia na kwa majungu yasiyokuwa na msingi?

Hii issue ya huyu mtu pengine kuna haja ya kui-revise kama walivyowahi kufanya kwenye ile ya Mkurugenzi wa TPDC
 
..tatizo ninaloliona ni kwamba Bwanakunu ameshinda kesi.

..tafsiri ya harakaharaka ni kwamba mamlaka ilimtumbua kwa makosa.

..kama tafsiri hiyo ni sahihi, naamini Bwanakunu anatakiwa alipwe mshahara wake tangu aliposimamishwa mpaka mkataba wake utakapokwisha.

NB:

..kuna wakati Magufuli alitumbua makatibu wakuu waliokuwepo ktk serikali ya Kikwete wakati watumishi hao walikuwa hawajafikia umri wa kustaafu. Suala hilo lilipelekea watu kulipwa mishahara bila kuwa na kazi ya kufanya.
 
Magufuli hakuwa na akili , alijua anawakomoa watu kumbe anawapa shavu, unatengua wakurugenzi 200 unateua wengine 200 bila kujua wale uliotengua wanaendelea kula mishahara ya ukurugenzi, ameiongezea nchi madeni ya ajabu sana, na kwakua alikua kichaa wala alikua hashauriwi na mtu, mfano kulazimisha serikali kuhamia Dodoma ni uamuzi wa kiendawazimu kabisa , kapoteza fedha bila hata sababu ya msingi
Kuna jamaa yangu alikuwa DED wilaya moja mkoani Mara, akatenguliwa around 2017. Wakampeleka TAMISEMI Dodoma wakampa desk akawa anasoma tu magazeti. Yupo Dodoma anaendesha biashara yake ya guest houses na lodges huku akilipwa na serikali mshahara uleule wa ukurugenzi, kimyaaa wala hataki kusumbua mtu.
 
Kumbe Huihui2 bado yupo ? Na Mwenzake soma Yule Yule Stuxnet; aka Cosmas Mwaifwani; hii safi sana; nilihisi baada ya kufukuzwa kazi MSD kwa wizi utaacha kuandika mambo ya MSD. Una miaka 61 leo bado tu unataka kazi MSD?
 
Mwaifwani acha Uchawi; Endelea tutaweka picha yako hapa! na kueleza wizi wako ulipokuwa MSD; na taarifa zako za ripoti ya upekuzi!
 
Magufuli hakuwa na akili , alijua anawakomoa watu kumbe anawapa shavu, unatengua wakurugenzi 200 unateua wengine 200 bila kujua wale uliotengua wanaendelea kula mishahara ya ukurugenzi, ameiongezea nchi madeni ya ajabu sana, na kwakua alikua kichaa wala alikua hashauriwi na mtu, mfano kulazimisha serikali kuhamia Dodoma ni uamuzi wa kiendawazimu kabisa , kapoteza fedha bila hata sababu ya msingi
Kwa kweli huu uhamisho kwenda Dodoma ni ufujaji wa fedha nyingi za walipa Kodi bila tija🙄
 
Kuna jamaa yangu alikuwa DED wilaya moja mkoani Mara, akatenguliwa around 2017. Wakampeleka TAMISEMI Dodoma wakampa desk akawa anasoma tu magazeti. Yupo Dodoma anaendesha biashara yake ya guest houses na lodges huku akilipwa na serikali mshahara uleule wa ukurugenzi, kimyaaa wala hataki kusumbua mtu.
Duh!
Huu ni ufisadi uliorasimishwa ukiratibiwa na serikali yenyewe 🙄
 
Back
Top Bottom