Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jun 15, 2022 #61 Dodoma leo said: Huyo alitenguliwa uteuz wake, hajafukuzwa kazii elewa hilo Click to expand... Ndiyo ubovu wa sheria zetu
Dodoma leo said: Huyo alitenguliwa uteuz wake, hajafukuzwa kazii elewa hilo Click to expand... Ndiyo ubovu wa sheria zetu
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jun 15, 2022 #62 Kennedy said: Serikali Ni Tajiri Sana Click to expand... Mbona sahivi wanalilia?
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Jun 16, 2022 #63 Ohooooo !!!
R Ralph Tyler JF-Expert Member Joined Jul 31, 2015 Posts 2,828 Reaction score 3,579 Jun 16, 2022 #64 Dodoma leo said: Huyo alitenguliwa uteuz wake, hajafukuzwa kazii elewa hilo Click to expand... Kwa bajeti ya 2022/23 aliyooma Mwigulu juzi, mtu akitenguliwa uteuzi anarudishwa katika cheo na mshahara aliokuwa nao kabla ya uteuzi huo.
Dodoma leo said: Huyo alitenguliwa uteuz wake, hajafukuzwa kazii elewa hilo Click to expand... Kwa bajeti ya 2022/23 aliyooma Mwigulu juzi, mtu akitenguliwa uteuzi anarudishwa katika cheo na mshahara aliokuwa nao kabla ya uteuzi huo.
rikiboy JF-Expert Member Joined Feb 19, 2017 Posts 21,952 Reaction score 43,265 Jun 16, 2022 #65 Ralph Tyler said: Kwa bajeti ya 2022/23 aliyooma Mwigulu juzi, mtu akitenguliwa uteuzi anarudishwa katika cheo na mshahara aliokuwa nao kabla ya uteuzi huo. Click to expand... kidogo hii mwigulu kachez kama peleee.. huwezi mshusha cheo mtu alafu mshahara anapokea na boss..
Ralph Tyler said: Kwa bajeti ya 2022/23 aliyooma Mwigulu juzi, mtu akitenguliwa uteuzi anarudishwa katika cheo na mshahara aliokuwa nao kabla ya uteuzi huo. Click to expand... kidogo hii mwigulu kachez kama peleee.. huwezi mshusha cheo mtu alafu mshahara anapokea na boss..
Escrowseal1 JF-Expert Member Joined Dec 17, 2014 Posts 4,618 Reaction score 4,605 Jun 16, 2022 #66 Tatizo Bwanakunu alichomolewa kwenye NGO hakuwa mtumushi wa.serukali sijui JK aliona nini toka kwake na alipoteuliwa kelele zilipaa
Tatizo Bwanakunu alichomolewa kwenye NGO hakuwa mtumushi wa.serukali sijui JK aliona nini toka kwake na alipoteuliwa kelele zilipaa