Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
"...mabadiriko haya yote ni muhimu yatengenezewe katiba mpya ama tukamilishe ile ama tuanze upya lakini katiba mpya ni muhimu sasa."
Pius Msekwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale hawawezi kujadili masuala yenye tija kwa Taifa. Kila mmoja anajaribu kufurahisha meza kuu. Ndiyo maana yule Mwamba aliamua kujilipua kwa kuwaita Chama cha Mambuzi.Ingependeza kama angeenda kulisema hili kwenye kile kikao chao cha juzi, kisha akutane na yule mjinga aliyesema watanzania hawali Katiba Mpya, hivyo anaona haina maana.
Yule Makamba ni hovyo Sana!Ingependeza kama angeenda kulisema hili kwenye kile kikao chao cha juzi, kisha akutane na yule mjinga aliyesema watanzania hawali Katiba Mpya, hivyo anaona haina maana.
Wamesema mambo yakiwa mabaya sana, labda.View attachment 2441358
"...mabadiriko haya yote ni muhimu yatengenezewe katiba mpya ama tukamilishe ile ama tuanze upya lakini katiba mpya ni muhimu sasa."
Plus Msekwa.
Anayesema watanzania hawataki katiba mpya ni Upuuzi tu in Jk's voiceIngependeza kama angeenda kulisema hili kwenye kile kikao chao cha juzi, kisha akutane na yule mjinga aliyesema watanzania hawali Katiba Mpya, hivyo anaona haina maana.
Yule yusf makamba ni mpumbavu kabisaaaYule Makamba ni hovyo Sana!
Mzee amesema kweli. Anayepinga hana akili.View attachment 2441358
"...mabadiriko haya yote ni muhimu yatengenezewe katiba mpya ama tukamilishe ile ama tuanze upya lakini katiba mpya ni muhimu sasa."
Plus Msekwa.