Msekwa: Yafaa spika kuwa mwanasheria, Spika Makinda asema si lazima

Msekwa: Yafaa spika kuwa mwanasheria, Spika Makinda asema si lazima

Nchi hii bwana. Kuwa speaker wa Bunge ni kujua kanuni na uelewa wa kanuni una tokana na kuwa bungeni na kuzi soma. Sasa ina chekesha na kwa kweli kusikitisha unapo ona mtu ni mbunge miaka nenda rudi lakini hajua kanini za Bunge.

Hata mimi ninamshangaa sana huyu mama kwani anaonekana very weak how can a person have all this time experience bado akavurunda kama yeye? Either of the two is true about her; one kwakuwa hayuko free in mind (kama wanavyohisi kawekwa) then anashindwa kutumia uzoefu wake ndiyo maana anaonekana kuwa hajui alitendalo maana anafanya kwa terms of reference za waliomweka ambazo saa nyingine zinaenda contrary to kanuni za bunge AMA yeye tu ndo yuko weak na hivyo kutokana na hilo kwenye key position kama hiyo lazima apwaye na ionekane maana yeye hasa ndiyo key player katika bunge.

Kwa mtu yeyote mwenye kupenda ukweli na kutofanya ushabiki kwenye serious issue huyu mama ameonyesha kuwa so weak kama speaker wa bunge kila mwenye macho na akili ameona. Atabisha lakini ukweli uko wazi, hata kama anatetea basi atumie akili kutetea utaona watu kama kina Chenge walikuwa wanatetea maslahi yao lakini kiakili mno siyo rahisi mtu asiye makini kutambua lakini huyu huhitaji akili kutambua kwamba yuko weak.

Msekwa has a point na kwakweli amemshauri kikubwa kwamba she need to devote her time kusoma sheria si kwalengo la kupata cheti bali kuimprove efficiency katika nafasi yake, kwamaana nyingine hata yeye anaona kuna gap hapo kwa mama speaker ila kama kawaida inferiority complex ya akina mama wengi wakipewa ushauri na men inaweza kumfanya asichukue huo ushauri.

Nina kitu kingine nje ya hili na linatokana na experience yangu. Nchi yetu most of senior decision makers walikuwa/na bado ni from Mzumbe; kwakweli niwe mkweli wakati mwingine tukubali tu hawa watu by many standards walikuwa under qualified Mzumbe mnisamehe sana but would want to be true to myself na kweli kwa ambao hamtajishughulisha at your own time and effort basi mtakuwa mna under perform. I had been interacting with some of these people kuna tatizo jamani tukubali tu you need to do something to improve your performance nadhani sina uhakika something was wrong kwenye expertise wao walio wa train. Hilo si kosa la wanafunzi ama chuo bali la wakati kwani mandate ya chuo ilikua kutoa viongozi lakini nafikiri wakati wazungu walipoondoka then hakukuwa na exit strategy nzuri so I dont mean to disqualify anybody ila kwenye accademics hakuna politics if you are underqualified basi individual efforts ni muhimu kuziba gap ili uweze ku improve performance.
 
mapacha watatu wakitimuliwa na huyu mama kinda asiachwe maana na yeye ni zao lao
 
Nchi hii bwana. Kuwa speaker wa Bunge ni kujua kanuni na uelewa wa kanuni una tokana na kuwa bungeni na kuzi soma. Sasa ina chekesha na kwa kweli kusikitisha unapo ona mtu ni mbunge miaka nenda rudi lakini hajua kanini za Bunge.

mkuu umenena
 
Yaani Msekwa mchekeshaji kweli kweli. Kwa hiyo kwa nadharia ya Msekwa ina maana Rais inabidi awe mwanasheria maana na yeye ni sehemu ya utungaji wa sheria kwa kusign. Pia ina maana mawaziri wote ambao huwa wanapeleka miswada ya sheria kuhusu wizara zao lazima wawe wanasheria. Hivyo pia ina maana wabunge wote hadi madiwani lazima wawe wanasheria.

Huo ni unafiki wa hali ya juu. Ni njia ya kutafuta kukubalika kwa wanasheria ili aonekane. Na kitu kingine ni kwa sababu Makinda ana matatizo na uongozi wake basi Msekwa anakuja na cheap politics. Suala ni kuwa na utawala bora ambao kila kiongozi ana kuwa na heshima kwa wale anaowaongoza. Yeye mwenyewe hakuwa mwanasheria wakati anaongoza, mbona hakudaiwa akasome sheria kwanza. Kama alifunuka kimawazo baadaye, kwa nini hakutoa ushauri huo wakati wa kupendekeza. Yeye anasema amesomea sheria je alishawahi kupractice wapi? Sitta alisomea sheria je alishawahi kupractice wapi ili aitwe mwanasheria? Viongozi wa CCM waache unafiki. Lazima waende na nyakati na kuongea vitu constructive na siyo kufocus on personalities. Any CCM is about to die so hivyo hakuna haja ya kupoteza kwa kuwapa ushauri
 
Yaani Msekwa mchekeshaji kweli kweli. Kwa hiyo kwa nadharia ya Msekwa ina maana Rais inabidi awe mwanasheria maana na yeye ni sehemu ya utungaji wa sheria kwa kusign. Pia ina maana mawaziri wote ambao huwa wanapeleka miswada ya sheria kuhusu wizara zao lazima wawe wanasheria. Hivyo pia ina maana wabunge wote hadi madiwani lazima wawe wanasheria.

Huo ni unafiki wa hali ya juu. Ni njia ya kutafuta kukubalika kwa wanasheria ili aonekane. Na kitu kingine ni kwa sababu Makinda ana matatizo na uongozi wake basi Msekwa anakuja na cheap politics. Suala ni kuwa na utawala bora ambao kila kiongozi ana kuwa na heshima kwa wale anaowaongoza. Yeye mwenyewe hakuwa mwanasheria wakati anaongoza, mbona hakudaiwa akasome sheria kwanza. Kama alifunuka kimawazo baadaye, kwa nini hakutoa ushauri huo wakati wa kupendekeza. Yeye anasema amesomea sheria je alishawahi kupractice wapi? Sitta alisomea sheria je alishawahi kupractice wapi ili aitwe mwanasheria? Viongozi wa CCM waache unafiki. Lazima waende na nyakati na kuongea vitu constructive na siyo kufocus on personalities. Any CCM is about to die so hivyo hakuna haja ya kupoteza kwa kuwapa ushauri

Msekwa has a point anataka kusema kidiplomasia kuwa mama Speaker something is wrong and so you need to do something kuziba hiyo gap; kasema yeye hakuwa amesoma sheria lakini alienda shule kwaajili ya uspeaker hapo hujaelewa kitu gani? Anatumia polite language kumweleza speaker mwenzake kuwa hapo inabidi vitu kama sheria upitie pitie si lazima awe professional, kwa nafasi yake anaweza hata akaomba washauri ambao ni wazoefu na wakampa traing zile basics within a three months kama kweli yuko sharp minded akawa mzuri kupita maelezo.

Na kuhusu Rais mpendwa huwezi ukawa Rais wakulala na kuamka tu asubuhi usichemshe; Rais anatakiwa asome sana na aelewe vitu vingi ili aweze ku deliver kwasababu problems zinapotokea kwenye field haziko profession specific na kuzi solve lazima mtu awe kweli interdisciplinery sasa hizi shule zina tupa tu basic lakini inapokuja kwenye uongozi basi ndiyo maana experience inahitajika pamoja na individual efforts kutumia ushauri ambao lakini za Mbaywayu unachanganya na zako. Huwezi ukawa wizara ya fedha wewe ukashindwa kuelewa simple accounting alafu eti uwe efficient katika kazi yako never!
 
Parliament of Tanzania. Pitieni hii profile link ya speaker Anne Makindi. Anaposema yeye ni professional accountant anaamanisha nn? Profile inasema alipomaliza Kilakala Girls Sec in 1970, alisoma Advanced Diploma ya ADMINISTRATION at the former Institute of Development and Management, currently Mzumbe University. Kwanini hayupo specific kama alisoma Advanced Diploma of Public Administration au hiyo ya finances, aitaje............ Na since hakuna sehemu inayoonyesha Mhe. Speaker since a-graduate IDM 1975 amesoma course yoyote, whether a short course or a long one. Labda wahasibu mnijuze, isn't finance a changing discipline? Just keen to know, nawasilisha....
HII HAPA MH.SPEAKER MOST CURRENT DATA!!

SalutationHonourableMember picture
1268.jpg
First Name: AnneMiddle Name: SemambaLast Name:MakindaMember Type:Constituency MemberConstituent: Njombe KusiniPolitical Party: CCMOffice Location: P.O. Box 6958,DAR ES SALAAMOffice Phone: +255 754 465226/+255 784 465226Ext.: Office Fax: Office E-mail: Member Status: Date of Birth EDUCATIONSSchool Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevelInstitute of Development & Management - MorogoroAdministration Course19711975ADV DIPLOMAKilakala Girls' Secondary School(Marian College)A-Level Education19691970HIGH SCHOOLMasasi Girls' Secondary SchoolO-Level Education19651968SECONDARYPeramiho Girls' Middle SchoolPrimary Education19611964PRIMARYUwemba Primary SchoolPrimary Education19571960PRIMARYCERTIFICATIONS Certification Name or TypeCertification No. </SPAN>IssuedExpires</SPAN>No items on listEMPLOYMENT HISTORY Company Name Position From DateTo Date-Regional Commissioner19952000Ministry of Community Development, Women Affairs and ChildrenMinister19901995State,Prime Minister's & First Vice President OfficeCoordination of Union Matters19831990State,Prime Minister's & First Vice President OfficeIn charge of Central Government Coordination19831990Tanzania GovernmentIn charge of Information and Broadcasting19831990State,Prime Minister's & First Vice President OfficeMinister19831990National Bank of CommerceBoard Member19781983Surveyors Building Contractors ConsultantsBoard Member19781983Tanzania Railways CorporationBoard Member19771983Tanzania Legal CorporationBoard Member19771983Mbeya Textile CompanyBoard Member19771983National Textile CompanyBoard Member19761983Tanzania Elimu SuppliesBoard Member19761983The Public Accounts Committee of the ParliamentMember19751983Tanzania Audit CorporationAuditor19751976The Institute of Development Management-MzumbeBoard Member19711976POLITICAL EXPERIENCE Ministry/Political Party/Location Position FromToCCM-Chama Cha MapinduziMember of National Executive Council1977TodateTANU/CCM-Chama Cha MapinduziTen Cells Leader19751983TANUChairman -Youth League-IDM, Mzumbe19711975TANUChairman -Youth League-Kilakala19691970TANUChairman of Youth League19651968PUBLICATIONSDescription Published DateNo items on listSPECIAL SKILLSSkill Name or Description Years Experience Acquired Through Skill LevelNo items on listRECOGNITIONS Recognition TypeRecognition DateReasonAction TakenIssued byNo items on list
 
Siku nyingi hapa janvini inasemekana kuwa mafisadi ndio wamemuweka Makinda kuwa Spika wa bunge letu, iwapo hao mafisadi waliomuweka huyu mama kwenye wadhifa huo watafukuzwa chamani je huyu mama anaweza kuhimili mapigo bila kinga ya mafisadi?
 
Msekwa has a point anataka kusema kidiplomasia kuwa mama Speaker something is wrong and so you need to do something kuziba hiyo gap; kasema yeye hakuwa amesoma sheria lakini alienda shule kwaajili ya uspeaker hapo hujaelewa kitu gani? Anatumia polite language kumweleza speaker mwenzake kuwa hapo inabidi vitu kama sheria upitie pitie si lazima awe professional, kwa nafasi yake anaweza hata akaomba washauri ambao ni wazoefu na wakampa traing zile basics within a three months kama kweli yuko sharp minded akawa mzuri kupita maelezo.

Na kuhusu Rais mpendwa huwezi ukawa Rais wakulala na kuamka tu asubuhi usichemshe; Rais anatakiwa asome sana na aelewe vitu vingi ili aweze ku deliver kwasababu problems zinapotokea kwenye field haziko profession specific na kuzi solve lazima mtu awe kweli interdisciplinery sasa hizi shule zina tupa tu basic lakini inapokuja kwenye uongozi basi ndiyo maana experience inahitajika pamoja na individual efforts kutumia ushauri ambao lakini za Mbaywayu unachanganya na zako. Huwezi ukawa wizara ya fedha wewe ukashindwa kuelewa simple accounting alafu eti uwe efficient katika kazi yako never!

Kama kutafuta washauri nani kamamwambia Msekwa kuwa Makinda huwa hapati ushauri? Halafu yeye kasema kuwa mwanasheria hajasema kupata ushauri wa kisheria usichanganye mambo na usibadili mjadala.

Kuhusu hiyo paragraph ya pili sijui ulitaka kusema nini maana naona umerusha maneno tu. Rudia kusoma vizuri nilichoandika unaweza ukapata maana yake
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mara hii wameanza kuona udhaifu wa Makinda kwani hawakujua kuwa Makinda ni accountant.
 
Mara hii wameanza kuona udhaifu wa Makinda kwani hawakujua kuwa Makinda ni accountant.


Quinine wewe ndiyo umesema. CCM waache kutuzingua. Tangu lini CCM wakajali professionalism? Waliwaweka akina Makamba waliuwa na qualification gani? Kikwete mwenyewe ana elimu gani toka amemaliza UDSM hajawahi kujiendeleza popote. Waacheni CCM waanguke hatuwezi kutetea Chama ambacho kimeifikisha nchi hapa ilipo. Msekwa mwenyewe ni mwandishi wa katiba ya sasa, mbona hakuliweka hilo kwenye katiba.
 
spika aliyetokana na nguvu za mapacha watatu hatufai

hahaha!

huyu mama anajua kanuni za bunge tu. hakuna siku inapita hajataja neno 'kanuni' pale mjengoni.

kwa suala la sheria makinda ni full maimuna.
 
hii hapa mh.speaker most current data!!

salutationhonourablemember picture
1268.jpg
first name: annemiddle name: Semambalast name:makindamember type:constituency memberconstituent: njombe kusinipolitical party: ccmoffice location: p.o. Box 6958,dar es salaamoffice phone: +255 754 465226/+255 784 465226ext.: office fax: office e-mail: member status: date of birth educationsschool name/location course/degree/award start dateend datelevelinstitute of development & management - morogoroadministration course19711975adv diplomakilakala girls' secondary school(marian college)a-level education19691970high schoolmasasi girls' secondary schoolo-level education19651968secondaryperamiho girls' middle schoolprimary education19611964primaryuwemba primary schoolprimary education19571960primarycertifications certification name or typecertification no. </span>issuedexpires</span>no items on listemployment history company name position from dateto date-regional commissioner19952000ministry of community development, women affairs and childrenminister19901995state,prime minister's & first vice president officecoordination of union matters19831990state,prime minister's & first vice president officein charge of central government coordination19831990tanzania governmentin charge of information and broadcasting19831990state,prime minister's & first vice president officeminister19831990national bank of commerceboard member19781983surveyors building contractors consultantsboard member19781983tanzania railways corporationboard member19771983tanzania legal corporationboard member19771983mbeya textile companyboard member19771983national textile companyboard member19761983tanzania elimu suppliesboard member19761983the public accounts committee of the parliamentmember19751983tanzania audit corporationauditor19751976the institute of development management-mzumbeboard member19711976political experience ministry/political party/location position fromtoccm-chama cha mapinduzimember of national executive council1977todatetanu/ccm-chama cha mapinduziten cells leader19751983tanuchairman -youth league-idm, mzumbe19711975tanuchairman -youth league-kilakala19691970tanuchairman of youth league19651968publicationsdescription published dateno items on listspecial skillsskill name or description years experience acquired through skill levelno items on listrecognitions recognition typerecognition datereasonaction takenissued byno items on list
je ameolewa na anawatoto wangapi?
 
Katika wanafiki niliwahi kuwaona na kuwasikia,Msekwa komesha.Mzee huyu anazeeka vibaya.Hivi yeye akiwa ni Makamu Mwenyekiti wa CCM,HAKUONA HAJA YA JAMBO HILI HADI LEO NDO AJIOSHE HIVYO KWA WANANCHI?Kwani Samwel Sitta hakuwepo? Kwanini walikata jina lake? Huyu Mzee sharobaro kweli..................hovyooooooooooooooooooooooooo! Ptuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
spika aliyetokana na nguvu za mapacha watatu hatufai

Tufike mahali pa kukubaliana na mawazo ya wadau, huyu spika alipaswa kusoma alama za nyakati aachie ngazi mara moja hiyo atajiwekea rekodi ya kukumbukwa katika hostoria ya utumishi wake akiwa spika wa kwanza mwanamke na aliyeachia ngazi baada ya kushindwa kuongoza bunge tukufu la jmt, kushindwa asisubiri tuone waheshimiwa wabunge wetu wakitoana ngeo kati ya kundi la wabunge wapambanaji na wale wa kuzomeazomea nisingependa tufike huko ANNE MAKINDA! MAMA YAMEKULEMEA MUACHIE MZEE WA KIWANGO ATUFIKISHE SALAMA, WEWE MMMMH
 
Tumpe Mh Chenge Uspika. Graduate wa Havard wa sheria! Uspika ni UONGOZI zaidi kuliko taaluma ya sheria. Msekwa hajawahi kuwa Spika mzuri hata baada kusoma sheria kama yule mfungwa wa Ukonga. Kinachomhangaisha spika wa sasa ni jinsi alivyoupata uspika wenyewe na mapenzi ya lazima kwa chama chake.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
“Nimekulia na kuzeekea bungeni, taaluma yangu ni uhasibu, lakini mimi ni kati ya wabunge wakongwe. Tangu nimetoka shule niko bungeni,” alisema.
"na nitafia bungeni'-----i can predict alitaka kusema hivyo.
 
Mtazamo! Mama makinda ni mmoja wa CPA holders wa mwanzoni kabisa..wengine ni John Cheyo..Mustafa Mkulo! Source NBAA

Hapo kwenye RED mkuu Huyo John Cheyo unamuona kwenye kumbukumbu za NBAA kuwa ana CPA(T) sio bwana mapesa tafadhali! Huyu ni mtu mwingine kabisa ukienda Wizara ya Fedha utamkuta!
 
Tumpe Mh Chenge Uspika. Graduate wa Havard wa sheria! Uspika ni UONGOZI zaidi kuliko taaluma ya sheria. Msekwa hajawahi kuwa Spika mzuri hata baada kusoma sheria kama yule mfungwa wa Ukonga. Kinachomhangaisha spika wa sasa ni jinsi alivyoupata uspika wenyewe na mapenzi ya lazima kwa chama chake.

Hapo wewe ndiyo umesema. Yaani umekwenda kwenye point moja kwa moja. Thanks
 
Back
Top Bottom