Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Parliament of Tanzania. Pitieni hii profile link ya speaker Anne Makindi. Anaposema yeye ni professional accountant anaamanisha nn? Profile inasema alipomaliza Kilakala Girls Sec in 1970, alisoma Advanced Diploma ya ADMINISTRATION at the former Institute of Development and Management, currently Mzumbe University. Kwanini hayupo specific kama alisoma Advanced Diploma of Public Administration au hiyo ya finances, aitaje............ Na since hakuna sehemu inayoonyesha Mhe. Speaker since a-graduate IDM 1975 amesoma course yoyote, whether a short course or a long one. Labda wahasibu mnijuze, isn't finance a changing discipline? Just keen to know, nawasilisha....
Kazi ya wabunge ni kujadili miswaada inayoandaliwa kisheria na serikari. Miswada ile kuletwa bungeni ni kwa lengo la kupitiwa na wabunge ili waone kama ina maslahi kwa wananchi wote mbalimbali wanaowawakilisha.
Kwa msingi huo spika mwenye busara na utimamu wa akili anaweza kuongoza mijadala itakayofanywa na wabunge wote, akiongozwa na malengo ya kuweka sheria zitakazoboresha serikali na kuisaidia kuhudumia wananchi wake na kuleta maendeleo.
Bunge lisilo weza kuchanganua hoja za serikari na kuongeza njia bora zinazofaa kuondoa kero za wananchi na taasisi za serikari, si tu kwamba bunge hilo ni mzigo kwa serikari bali pia haliisaidii katika kufanikisha malengo yake.
Nilipoona hii thread kitu cha kwanza kujiuliza ni hiki cha uwepo wa Msekwa wakati wa kumpendekeza huyu mama........................ Thanks Samora kwa kuwahi.........
SASA SI NDIO MAGAMBA YENYEWE YANATOKA NA WEWE??? we huoni mapacha watatu ndio wanapigwa zengwe ?? na bado....
Sitashangaa wakimtimua kazi kwa kuwahofia wabunge machachari wa chadema wanaojua sheria na kumdhalilisha speaker na ccm yake.
Marando aliwaambia nafasi ya Uspika inafaa ikaliwe na mwanasheria lakini wakampigia kura kwa kishindo wamuache aendeleze libeneke wanaona aibu kungali mapemaMsekwa alikuwepo wapi katika secretariate iliyompendekeza huyu mama? Maana wote walijua huyu siyo mwanasheria japo, atakuwa anafnaya kazi ya UANASHERIA
Msekwa yuko Sawa.
Tatizo la kuchaguliwa Makinda lilitokana na mpango wa kifisadi wa kumzuia Sitta kuendelea na nafasi hiyo.
Pius anajua historia itakuja wasuta.
Anasema hivyo tokana na aibu inayosababishwa na undondocha unaoonyeshwa na makinda bungeni. Uozo huo wanauona.