Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apewe kabisa na Ukurugenzi/Uenyekiti wa Tume ya Taifa ya uchaguzi.Anafaa sana.Mh.Nape M. Nauya amechagua kuwa mkweli kuwa kipindi chote huwa wanafanya hivyo apongezwe Kwa ujasiri wake wa kutoa silaa za kivita hadharani .
Mishangao huwa haiishi bongoland.Subiri uone.Hata afanye nini..hayupo ndan ya mkeka yy na mwenzake marope..ndio bye bye..
Samahani one b hivi marope ndo nani nipe code kiongoziHata afanye nini..hayupo ndan ya mkeka yy na mwenzake marope..ndio bye bye..
ma=ma mengiSamahani one b hivi marope ndo nani nipe code kiongozi
We unaishi nchi gani?Ila ni hatari kama inafanyika hivyo. awali sikuamini sasa nimeamini.
UJumbe huu umfikie Pastor.Msigwa,chawa wote na Adv.P,popote mlipo kwa hatua stahiki.Mh.Nape M. Nauya amechagua kuwa mkweli kuwa kipindi chote huwa wanafanya hivyo apongezwe Kwa ujasiri wake wa kutoa silaa za kivita hadharani .
🤣🤣🤣 aisee nishaipata hii code ila marope atakuwepo ila huyo mwingine sidhanma=ma mengi
rope=kamba
Haya sasa,fanya shunting uunganishe mabehewa ya kwenda Kazuramimba.
HahahaaYale Yale, ya Kupata info kuwa atatenguliwa, analazimisha Afanye press, Kisha anatolewa bastola,
CCM sijui Huwa inawatoa wapi Hawa vijana wa hovyo!!
FebruarySamahani one b hivi marope ndo nani nipe code kiongozi