Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Mh. Nape Mosses amechagua kusema ukweli

Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Mh. Nape Mosses amechagua kusema ukweli

Mh.Nape M. Nauya amechagua kuwa mkweli kuwa kipindi chote huwa wanafanya hivyo apongezwe Kwa ujasiri wake wa kutoa silaa za kivita hadharani .
UJumbe huu umfikie Pastor.Msigwa,chawa wote na Adv.P,popote mlipo kwa hatua stahiki.
 
Yale Yale, ya Kupata info kuwa atatenguliwa, analazimisha Afanye press, Kisha anatolewa bastola,

CCM sijui Huwa inawatoa wapi Hawa vijana wa hovyo!!
 
Back
Top Bottom