Msemaji Ali Kamwe na Yanga SC kwani kusema kuwa Bernard Morisson kagoma hadi alipwe chake mlichomkopa mnaogopa nini?

Msemaji Ali Kamwe na Yanga SC kwani kusema kuwa Bernard Morisson kagoma hadi alipwe chake mlichomkopa mnaogopa nini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ninaposema kuwa GENTAMYCINE ni habari nyingine katika kuzipata zile za ndani ambazo huwa mnazificha muwe mnanikubali sawa?

Na najua baada ya uzi wangu huu mtaandaa counter ili kuja kuipinga/kupinga na kuonekana kama vile hali ni shwari, mkisahau kuwa wanaonipa hizi taarifa zenu nyeti ni wenzenu na mpo nao 24/7 kiutendaji.

Bernard Morisson wala haumwi au hana matatizo ya kifamilia huko kwao, bali ukweli ni kwamba amegoma hadi mumlipe hela yake mliyomkopa (ya usajili) baada ya kutokea Simba SC.

Lakini pia amewataka mumhakikishie nafasi ya kucheza chini ya Kocha Nabi ambaye GENTAMYCINE nina taarifa za uhakika kuwa hamtaki na wala hakumtaka mchezaji huyo kutokana na tabia zake za utovu wa nidhamu zisizorekebishika.

Na kilichomkwaza zaidi mchezaji Bernard Morisson ni Kitendo cha kugundua wazi kuwa Kocha Nabi si tu hamtaki bali hampendi pia, na anataka aachwe dirisha hili dogo ili nafasi yake ijazwe na ama na Yacouba au Kambole.

Mwambieni mchezaji wenu Bernard Morisson kuwa GENTAMYCINE namwomba kesho tukutane pale kwa demu wake (goma lake) mla 'powder' kama ambavyo hata yeye naye anakula vile vile (huku wakilewa hovyo) ndani ya Gari aina ya IST ya kinchechede wake huyo DJ maarufu wa kike aliyepita Clouds FM na sasa yuko media ya msanii wa muziki tajiri Tanzania aishiye Mbezi Beach Maua, wakiwa wamepanga katika nyumba ya Rubani mahiri wa ATCL.

Tafadhali wale wana JamiiForums (kikundi maalum cha kunishambulia na kumchukia daima GENTAMYCINE hapa JamiiForums kutokana na uwasilishaji wake wa kipekee, wivu na nyota yake kali kiumaarufu iliyobarikiwa vyema na Mwenyezi Mungu), ambao pia mliowekeza muda wenu huo wa kipumbavu (kipang'ang'a), msiache kuuchangia huu uzi ili kuzidi kunifanya niwe imara na juu zaidi yenu, sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!

Cc: Smart AJ
 
Ninaposema kuwa GENTAMYCINE ni Habari nyingine katika kuzipata zile za Ndani ambazo huwa mnazificha muwe mnanikubali sawa?

Na najua baada ya Uzi wangu huu mtaandaa Counter ili kuja Kuipinga / Kupinga na kuonekana kama vile hali ni Shwari mkisahau kuwa wanaonipa hizi Taarifa zenu Nyeti ni Wenzenu na mpo nao 24/7 Kiutendaji.

Bernard Morisson wala haumwi au hana Matatizo ya Kifamilia huko Kwao bali ukweli ni kwamba amegoma hadi mumlipe Hela yake mliyomkopa ( ya Usajili ) baada ya kutokea Simba SC lakini pia amewata mumhakikishie nafasi ya Kucheza chini ya Kocha Nabi ambaye GENTAMYCINE nina Taarifa za uhakika kuwa hamtaki na wala hakumtaka Mchezaji huyo kutokana na Tabia zake za Utovu wa Nidhamu zisizorekebishika.

Na kilichomkwaza zaidi Mchezaji Bernard Morisson ni Kitendo cha kugundua wazi kuwa Kocha Nabi si tu hamtaki bali hampendi pia na anataka aachwe dirisha hili dogo ili nafasi yake ijazwe na ama Yacouba au Kambole.

Mwambieni Mchezaji wenu Bernard Morisson kuwa GENTAMYCINE namwomba Kesho tukutane pale kwa Demu wake ( Goma lake ) mla 'Powder' kama ambavyo hata Yeye nae anakula vile vile ( huku Wakilewa hovyo ) ndani ya Gari aina ya IST ya Kinchechede wake huyo DJ maarufu wa Kike aliyepita Clouds FM na sasa yuko Media ya Msanii wa Muziki Tajiri Tanzania aishiye Mbezi Beach Maua wakiwa wamepanga katika Nyumba ya Rubani mahiri wa ATCL.

Tafadhali wale wana JamiiForums ( Kikundi Maalum cha Kunishambulia na Kumchukia Daima GENTAMYCINE hapa JamiiForums kutokana na Uwasilishaji wake wa Kipekee, Wivu na Nyota yake Kali Kiumaarufu iliyobarikiwa vyema na Mwenyezi Mungu ) ambao pia mliowekeza muda Wenu huo wa Kipumbavu ( Kipang'ang'a ) msiache Kuuchangia huu Uzi ili kuzidi kunifanya niwe Imara na Juu zaidi yenu sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Kolo kwenye ubora wako
 
Ninaposema kuwa GENTAMYCINE ni Habari nyingine katika kuzipata zile za Ndani ambazo huwa mnazificha muwe mnanikubali sawa?

Na najua baada ya Uzi wangu huu mtaandaa Counter ili kuja Kuipinga / Kupinga na kuonekana kama vile hali ni Shwari mkisahau kuwa wanaonipa hizi Taarifa zenu Nyeti ni Wenzenu na mpo nao 24/7 Kiutendaji.

Bernard Morisson wala haumwi au hana Matatizo ya Kifamilia huko Kwao bali ukweli ni kwamba amegoma hadi mumlipe Hela yake mliyomkopa ( ya Usajili ) baada ya kutokea Simba SC lakini pia amewata mumhakikishie nafasi ya Kucheza chini ya Kocha Nabi ambaye GENTAMYCINE nina Taarifa za uhakika kuwa hamtaki na wala hakumtaka Mchezaji huyo kutokana na Tabia zake za Utovu wa Nidhamu zisizorekebishika.

Na kilichomkwaza zaidi Mchezaji Bernard Morisson ni Kitendo cha kugundua wazi kuwa Kocha Nabi si tu hamtaki bali hampendi pia na anataka aachwe dirisha hili dogo ili nafasi yake ijazwe na ama Yacouba au Kambole.

Mwambieni Mchezaji wenu Bernard Morisson kuwa GENTAMYCINE namwomba Kesho tukutane pale kwa Demu wake ( Goma lake ) mla 'Powder' kama ambavyo hata Yeye nae anakula vile vile ( huku Wakilewa hovyo ) ndani ya Gari aina ya IST ya Kinchechede wake huyo DJ maarufu wa Kike aliyepita Clouds FM na sasa yuko Media ya Msanii wa Muziki Tajiri Tanzania aishiye Mbezi Beach Maua wakiwa wamepanga katika Nyumba ya Rubani mahiri wa ATCL.

Tafadhali wale wana JamiiForums ( Kikundi Maalum cha Kunishambulia na Kumchukia Daima GENTAMYCINE hapa JamiiForums kutokana na Uwasilishaji wake wa Kipekee, Wivu na Nyota yake Kali Kiumaarufu iliyobarikiwa vyema na Mwenyezi Mungu ) ambao pia mliowekeza muda Wenu huo wa Kipumbavu ( Kipang'ang'a ) msiache Kuuchangia huu Uzi ili kuzidi kunifanya niwe Imara na Juu zaidi yenu sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Hujaacha kuandika upuuzi ndo maninj haya umetuandikia?umbea ndiyo tatizo.
 
GENTAMYCINE THE GREAT

Ngoja waje kukukataa mkuu
Huwa sibahatishi na sijawahi Kubahatisha kwa Taarifa ya Suala, Jambo au Tukio lolote lile halafu huwa najiamini kwa Habari Ngumu na zilizojificha au zile zilizofichwa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Foolish.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
.
20221202_190917.jpg
 
Na tutaendelea Kuroga sana tu Oky?
Wewe huwa unasemaga wazi kuwa kuna kamati chafu/kamati ya roho mbaya..
Shida ni wale wanaojifanyaga kiwa haya mambo hawafanyi....
Wewe humu jukwaani ndo huwa unasema wazi na imekuwa wazi kweli..
 
Ninaposema kuwa GENTAMYCINE ni habari nyingine katika kuzipata zile za ndani ambazo huwa mnazificha muwe mnanikubali sawa?

Na najua baada ya uzi wangu huu mtaandaa counter ili kuja kuipinga/kupinga na kuonekana kama vile hali ni shwari, mkisahau kuwa wanaonipa hizi taarifa zenu nyeti ni wenzenu na mpo nao 24/7 kiutendaji.

Bernard Morisson wala haumwi au hana matatizo ya kifamilia huko kwao, bali ukweli ni kwamba amegoma hadi mumlipe hela yake mliyomkopa (ya usajili) baada ya kutokea Simba SC.

Lakini pia amewataka mumhakikishie nafasi ya kucheza chini ya Kocha Nabi ambaye GENTAMYCINE nina taarifa za uhakika kuwa hamtaki na wala hakumtaka mchezaji huyo kutokana na tabia zake za utovu wa nidhamu zisizorekebishika.

Na kilichomkwaza zaidi mchezaji Bernard Morisson ni Kitendo cha kugundua wazi kuwa Kocha Nabi si tu hamtaki bali hampendi pia, na anataka aachwe dirisha hili dogo ili nafasi yake ijazwe na ama na Yacouba au Kambole.

Mwambieni mchezaji wenu Bernard Morisson kuwa GENTAMYCINE namwomba kesho tukutane pale kwa demu wake (goma lake) mla 'powder' kama ambavyo hata yeye naye anakula vile vile (huku wakilewa hovyo) ndani ya Gari aina ya IST ya kinchechede wake huyo DJ maarufu wa kike aliyepita Clouds FM na sasa yuko media ya msanii wa muziki tajiri Tanzania aishiye Mbezi Beach Maua, wakiwa wamepanga katika nyumba ya Rubani mahiri wa ATCL.

Tafadhali wale wana JamiiForums (kikundi maalum cha kunishambulia na kumchukia daima GENTAMYCINE hapa JamiiForums kutokana na uwasilishaji wake wa kipekee, wivu na nyota yake kali kiumaarufu iliyobarikiwa vyema na Mwenyezi Mungu), ambao pia mliowekeza muda wenu huo wa kipumbavu (kipang'ang'a), msiache kuuchangia huu uzi ili kuzidi kunifanya niwe imara na juu zaidi yenu, sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!

Cc: Smart AJ
huna u great wowote labda wa kutunga uongo
 
Back
Top Bottom