MwanaHabari Digital
New Member
- Nov 11, 2022
- 2
- 15
Msigwa sijui namuonaje hana radha tena ya usemaji na hana test ya usemaji wenye viwango. wamtafutie kitengo kingine basi."Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson
View attachment 2416510
Bora angekaa kimya.Msigwa kamaliza “Serikali inaomba wananchi kuwa watulivu”
Kwani kulikuwa na vurugu? Mbona wanaajishukushuku?Msigwa kamaliza “Serikali inaomba wananchi kuwa watulivu”
Tume zikiundwa ni sehemu ya upigaji pesaNi hadithi za kila siku. Serikali inawafanya wananchi wote hawana akili:
1) Report ya wizi wa fedha BOT mara baada ya kifo cha Magufuli iko wapi?
2) Report ya Polisi waliomwua mfanyabiashara Mtwara iko wapi?
3) Report ya moto uliounguza soko iko wapi?
Hata hii itaishia hivyo hivyo. Labda report itakayopatikana ni ile ya kampuni ya ATR, maana hiyo haitakuwa chini ya Serikali ya Tz.
Yaani baraza la mawaziri linafanya kikao kutuambia hayo? Nchi hii ina ukosefu wa viongozi sahihi"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson
View attachment 2416510
Kama ikibainika kuwa ndege ya ajali ilikuwa haina hitilafu yoyote kwenye mifumo yake, basi lawama imwangukie Rubani Mkuu aka Captain, sababu alikuwa briefed kuhusu hali ya hewa inayozunguka Bukoba Airport wakati ndege imetua Mwanza, lakini akaamua kuendelea na safari hadi Bukoba.
Ni lini mmeatoa taarifa baada ya uchunguzi
Source : millard ayo
Kwani walikuwa wanafanya vurugu?Msigwa kamaliza “Serikali inaomba wananchi kuwa watulivu”