Chief safari ilikuwa Dsm to Mz kupitia BukobaKama ikibainika kuwa ndege ya ajali ilikuwa haina hitilafu yoyote kwenye mifumo yake, basi lawama imwangukie Rubani Mkuu aka Captain, sababu alikuwa briefed kuhusu hali ya hewa inayozunguka Bukoba Airport wakati ndege imetua Mwanza, lakini akaamua kuendelea na safari hadi Bukoba.
Aisee [emoji45]"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson
View attachment 2416510
Tena yaua mpaka 30+Mbona mabasi yakiuwa baraza la mawaziri halikai? Au wapanda ndege ni bora kuliko wapanda mabasi?
Mimi pia ninamuona Msigwa, kwa namna anavyoisemea serikali ni mtu asiye na exposure yo yote ile ya masuala iwe ya kijamii, uongozi, diplomasia, mahusiano iwe public au International relation au cho chote kile. Inaonekana alibebwa tu kwa kujuana na maguMsigwa sijui namuonaje hana radha tena ya usemaji na hana test ya usemaji wenye viwango. wamtafutie kitengo kingine basi.
Mbona mabasi yakiuwa baraza la mawaziri halikai? Au wapanda ndege ni bora kuliko wapanda mabasi?
Ndege ni bora kuliko bus, sheikh.Mbona mabasi yakiuwa baraza la mawaziri halikai? Au wapanda ndege ni bora kuliko wapanda mabasi?
Pole. Kunywa maji ya vuguvugu. Yanasaidia sana kupunguza hasira. Hasa pale unasubiria jambo ambalo umeishajiwekea majawabu halafu matokeo yanakuwa tofauti.BLADFAKEN hovyo kabisaaa
Tulijua tuu ni bla blaa. Ccm haija wahi kuwa na nia njema na raia wake. Story ya Majaliwa imekuwa ya zamani sasa wana tengeneza tukio jingine. Kusubiri ripoti ya tume. Iwekwe kapuni. Majaliwa Pm ana ripoti ngapi kaweka kwapani?"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson
View attachment 2416510
Kiongozi wa baraza ni juhaHilo baraza wamekosa agenda nyingine za kujadili?
Ndege ni bora kuliko bus, sheikh.Mbona mabasi yakiuwa baraza la mawaziri halikai? Au wapanda ndege ni bora kuliko wapanda mabasi?
Mi nimekereka mno, watu wanakufa kila uchao, hakuna anaekaa kutaka kujua chanzo cha hivyo vifo ila ndege mara moja kwa miongo kadhaa wapuuzi wanakaa vikao kwa kodi zetu na mashangingi ya mamia ya mamilioni kujadili.Mbona mabasi yakiuwa baraza la mawaziri halikai? Au wapanda ndege ni bora kuliko wapanda mabasi?
Njia za usafiri ziko kadhaa ambazo ni barabara, anga, maji, reli na mawasiliano mtandao."Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson
View attachment 2416510
pamoja na kupata promosheni lakini kuwa mkuu wa idara ya habari na mawasiliano ikulu ni kitu kikubwa kuliko kukaa pale kwenye zile ofisi karibu mnara wa askari.Mkuu bandeko andeko, apokwe vipi wakati ni promosheni, amekuwa bosi kubwa!, Msemaji Mkuu wa Serikali pia ni Mkuu wa Idara inayojitegemea, Idara ya Habari Màelezo, ina vote yake, independent, na ndie bosi wa maofisa habari wote wa serikali, idara na wakala, akiwemo Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ambacho ni kitengo tuu!. Gerson ni bosi wa Venus!.
P