Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Mbowe karejea CCMWanasemaje? Wamekuja na uongo Gani?
Endelea kuota, Ile ndoto yako na Rafiki yako Mwashambwa ya Lissu kwenda ACT Wazalendo imeishia Wapi?Mbowe karejea CCM
Hata gali.likiwa jipya huwezi kuanza kuiendesha kwa speed ya juu sana. Hapo ni kutest train yenyewe, hiyo rail, na suala la umeme. Tuwape muda wanaohusika kuwasiliaha ahadi yao kwa umma!Jana nimekaa zangu TNT G/mboto pale mida ya jioni nikaona hiyo treni inapita. Ule mwendo ni kama yale magari ya mgongo Chura yA ZAMANI.
Mwenye uelewa atueleweshe Kwanini hatuoni spidi waliyokuwa wanasema
Ngoja tuone lakini hata kama ni majaribio sio kwa ule mwendo tena treni ya abiria inakimbia kushinda hiiHata gali.likiwa jipya huwezi kuanza kuiendesha kwa speed ya juu sana. Hapo ni kutest train yenyewe, hiyo rail, na suala la umeme. Tuwape muda wanaohusika kuwasiliaha ahadi yao kwa umma!