Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi azungumza na waandishi wa habari kufafanua kuhusu Mkopo wa Korea Kusini

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Kwa nini ujenzi wa reli umesimama?
 
Zamani Nilijua Msemaji Anatokana Na Uwezo, Uchapakazi
Kumbe Connection Tupu... .Oops
 
Hivi sasa hivi hii Bendera ya EAC ni lazima iwepo kwenye shughuli na majengo ya kiserikali?
 
Sasa hii uliyoleta hapa ni taarifa au ni habari? Mleta mada ulikuwa na haraka gani kukimbilia kuanzisha uzi usiokuwa na maelezo yoyote
Cc: Ojuolegbha
 
#NUKUU: Ufafanuzi wa Mkopo wa Dola Bilioni 2.5 ambao Tanzania imepata kutoka Korea.

Mobhare Matinyi.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali.
Dar es Salaam, Tanzania.
Juni 4, 2024.

 
Haya maandishi/makaratasi, sio ya kuamini.

PhD za heshima ni za kuogopa kuliko ukoma.
 
Viongozi ni panya road waliovishwa suti na sisi walipa kodi tunawapigia salute. So sad
 
Niliona wikiendi Maulidi Kitenge alikuwa anaenda kutembelea Serengeti na Serengeti ni sehemu ya mbuga za wanyama sijui nilitaka kusema nini😁

 
Hivi ukiwa na mwanamke ambe nyumbani kuna kila kitu lakini kila siku unakuta taarifa za mikopo ya vikobo na Saccos asiyokushirikisha ila mali zako ndo zinawekwa dhamana na unawajibika kulipa wewe, Utachukua hatua gani dhidi yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…