Msemaji Mkuu wa Serikali: Rais ametoa UHURU wa KUJIELEZA lakini hajaruhusu watu walete mtafaruku na mgongano kwenye nchini

Ni katiba na sheria ndo zinatoa uhuru na mipaka yake ndugu msigwa. Siyo rais
 
Duh! Hii kali. Kwamba uhuru wa kujieleza ni kwa udhamini wa Rais. Msigwa ana-misread tena kwa makusudi kabisa!
 
Kwamba rais ndiye ibara ya 18 ya Katiba ya jamhuri ya muungano ya Tanzania? Au Mimi ndiye sijaelewa?
 

Uhuru wa kujieleza umetolewa na Rais? Huyu ni msemaji mkuu wa serikali aliyesema hayo.

Kama Msemaji wa serikali anaweza kuongea ujinga kama huo,jiulizeni sasa hali ikoje huku chini. Nchi ina watu wajinga hii kuliko mnavyoweza kudhani.
 
napata faraja kubwa kwani watanzania mitaani wanawapuza sana chadema
 
Uhuru wa kujieleza upo kwa mujibu wa katiba na siyo huruma ya raisi

Kama kweli anaheshimu kiapo chake cha urais basi afuate katiba!

Kama akiamua kuvunja katiba basi avunje ili tumuone msaliti wa kiapo!
 
Siyo sahihi.
Rais hatoi ruhusa. Ruhusa ni matakwa ya katiba ya nchi hii; pamoja na ubovu iliono.
 
Msigwa na Samia wote ni wajinga

Msigwa ni mpuuzi kwa kusema

kwamba hii nchi licha ya kuwa na jeshi la polisi, TAKUKURU, na mahakama, lakini hizo idara zote ni wajinga,
DAH! Kuwa na heshima hata kidogo.
 
Samia na Msigwa ni majuha kabisa!

Uhuru wa kujieleza siyo hisani ya Samia.

Haya mamtu ni bure kabisa.
Hivi ile ndoto yake ya 2025 bado anayo? Kuna kundi fulani ndani ya Serikali yake limemtega. Wakati wowote linatimkia kusikojulikana na kumuachia CCM yake.
 
Amesema rais ndiye aliyetoa uhuru wa kujieleza??
Rais wa nchi hii kila kitu ndo anaruhusu!
Iko siku tutaambiwa Rais karuhusu mnye, ila hakikisheni mnakunya vizuri!
😁😁😁😁😁😁😁
Kuna uhitaji wa kuwa na Katiba Mpya akyanani.
 
Kwani nani alisema rais ana mamlaka ya kuruhusu au kutoruhusu mtu yeyote kuleta mtafaruku?

Mamlaka hayo anayatoa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…