Vyeo vya mbelekoRais mwenyewe hajachaguliwa na yeyote. Huo uhuru atatoa kwa mamlaka yepi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyeo vya mbelekoRais mwenyewe hajachaguliwa na yeyote. Huo uhuru atatoa kwa mamlaka yepi?
Hakuna asiyehusika na bandari, bandari ni kama hewa tuvutayo inamgusa kila mtu labda tu kama haujui maana na umuhimu wa bandari, uwe mjini au kijijini bandari inakuhusu.Hivi una hata muda wa japo kutabasam tu!
Mana bandari imekufanya kuwa stressed utadhani unahusika nayo
Kwahiyo unataka turudi jeraMbona wakati wa dikteta magufuli mliufyata?
Japo taulo yako ni ya mtumba lkn imepita hapo bandarini, bandari haina chama.napata faraja kubwa kwani watanzania mitaani wanawapuza sana chadema
Hujuwi kusoma au ni ngumu kuingia? Rudia kwa sauti:Amesema rais ndiye aliyetoa uhuru wa kujieleza??
Ni heri yeye anapo "anapojikomba", wewe unakombwa na nani?Kauli kama ya Msigwa huja pale unapojikomba kwa kiongozi kupitiliza.
Wakati wa Magu kulikuwa hakuna katiba?Mi nlidhani Uhuru wa kutoa maoni na kujieleza umeanishwa kwenye katiba...kumbe ni kwa udhamini mkubwa wa Mama. Basi sawa.
kweli kabisa, subiri 2025. Kazi ya Mungu haina makosa.Hata sisi wananchi hatujamchagua Huyo wanayedai ni rais.Na hatujamtuma kuuza Mali za Tanganyika pekee na kuacha za nyumbani kwao Zanzibar wakati bandari ni jambo la muungano.
Kuna nini cha Samia kuwajibu, tupo sisi saizi yenu mitandaoni hapa.Msigwa na Samia wote ni wajinga wanaozidisha huo wanaouita mgongano.
Samia licha ya kuruhusu watu wakosoe lakini amegoma kuwajibu, au anapojibu anatoa majibu ya dharau, hii maana yake Samia nae hajielewi, ukiruhusu watu wakosoe, kuwa tayari kuwajibu kwa staha, lakini kinyume chake utavuna unachopanda.
Msigwa ni mpuuzi kwa kusema wanaolalamikia mkataba wa bandari waliopewa waarabu milele ni wale waliokuwa wakivuna kule bandarini, kwamba hii nchi licha ya kuwa na jeshi la polisi, TAKUKURU, na mahakama, lakini hizo idara zote ni wajinga, zilizozidiwa ujanja na wajanja waliokuwa wakiiba bandarini!.
Kwa katiba tuliyonayo rais anaweza kuamua watanzania wote ikifika saa 12 jioni wote tuwe tumelala. Hii ndio maana yake hivyo usishangae sana.Mi nlidhani Uhuru wa kutoa maoni na kujieleza umeanishwa kwenye katiba...kumbe ni kwa udhamini mkubwa wa Mama. Basi sawa.
Mpuuzi mpuuze Samia hawezi kupoteza muda kujibu wapumbavu mambo ya kufanya ni mengi. Kama mlikuwa mna mjaribu basi jibu mmelipata katafuteni kazi nyingine za kufanya.Msigwa na Samia wote ni wajinga wanaozidisha huo wanaouita mgongano.
Samia licha ya kuruhusu watu wakosoe lakini amegoma kuwajibu, au anapojibu anatoa majibu ya dharau, hii maana yake Samia nae hajielewi, ukiruhusu watu wakosoe, kuwa tayari kuwajibu kwa staha, lakini kinyume chake utavuna unachopanda.
Msigwa ni mpuuzi kwa kusema wanaolalamikia mkataba wa bandari waliopewa waarabu milele ni wale waliokuwa wakivuna kule bandarini, kwamba hii nchi licha ya kuwa na jeshi la polisi, TAKUKURU, na mahakama, lakini hizo idara zote ni wajinga, zilizozidiwa ujanja na wajanja waliokuwa wakiiba bandarini!.
Wanapima kina cha maji .jibu wamelipataKuna nini tena?