G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Wakuu, Hassan Abbas (Daktari) ambaye ni msemaji mkuu wa serikali ameweka rasmi kofuli la uhuru wa habari Tanzania.
Akitoa ufafanuzi leo anasema "Leseni mpya ya vyombo vya habari vya ndani ambavyo vinataka kujiunga na vyombo vya habari vya nje inavielekeza kuwajibika kama vyombo hivyo vya nje vitatoa habari inayokiuka sheria mpya ya habari.
Kama hamjui sheria mpya ya habari ni mbaya sana. Kwa mfano ingekuwa kile kipindi cha Corona basi kwa sheria hii Star tv wangefunga kituo maana daily wangelimwa faini milioni 15.
Kwa wasiojua ni kuwa sheria hii inatamka wazi kuwa habari yoyote ile hata kama ni ya kweli basi itakuwa halali tu pale ambapo imethibitishwa na Serikali na mamlaka zake zilizowekwa kisheria. Mbaya sana hii!
Nakupa mfano tetemeko la jana hata kama watu walilisikia basi kama halijatangazwa na chombo husika kilichowekwa na serikali bado siyo tetemeko na ikilitangaza unachukuliwa hatua.
Huu utawala huu ni utawala wa aina yake! Yani kwa mfano Lissu alipopigwa risasi basi ni mpaka mamlaka husika yaani jeshi mapolisi liseme kuwa Lissu kapigwa risasi ndipo itangazwe! Hata kama umeshuhudia akipgwa risasi basi hesabu kuwa hujashuhudia.
Akitoa ufafanuzi leo anasema "Leseni mpya ya vyombo vya habari vya ndani ambavyo vinataka kujiunga na vyombo vya habari vya nje inavielekeza kuwajibika kama vyombo hivyo vya nje vitatoa habari inayokiuka sheria mpya ya habari.
Kama hamjui sheria mpya ya habari ni mbaya sana. Kwa mfano ingekuwa kile kipindi cha Corona basi kwa sheria hii Star tv wangefunga kituo maana daily wangelimwa faini milioni 15.
Kwa wasiojua ni kuwa sheria hii inatamka wazi kuwa habari yoyote ile hata kama ni ya kweli basi itakuwa halali tu pale ambapo imethibitishwa na Serikali na mamlaka zake zilizowekwa kisheria. Mbaya sana hii!
Nakupa mfano tetemeko la jana hata kama watu walilisikia basi kama halijatangazwa na chombo husika kilichowekwa na serikali bado siyo tetemeko na ikilitangaza unachukuliwa hatua.
Huu utawala huu ni utawala wa aina yake! Yani kwa mfano Lissu alipopigwa risasi basi ni mpaka mamlaka husika yaani jeshi mapolisi liseme kuwa Lissu kapigwa risasi ndipo itangazwe! Hata kama umeshuhudia akipgwa risasi basi hesabu kuwa hujashuhudia.