Msemaji Serikali ya Israel: Mwili wa Mtanzania Joshua unashikiliwa na Hamas

shida ni kwamba, HAMAS wenyewe wameshakubali ni wao walifanya hilo tukio, ila wewe hamas na gaidi wa mbagala unayegongea ugali na kipande cha samaki huna mbele wala nyuma unabisha. wao wamekiri na kusema raia wa kigeni wote waliowadhuru ni onyo kwamba anayeshirikiana na wazayuni anaunga mkono uwepo wao pale hivyo wana haki kumdhuru pia. waambie na wenzako wote huko kwenye majengo yenu wajue hili.
 
Hivi mtanzania ambaye hana uraia wa nchi nyingine akiuwawa au kutekwa nchi ya ugenini nani anatakiwa kuwajibika kwa kuzembea ulinzi wake?
 
Na wewe tukulize:
Haukuona video Hao Makamasi wakimuua Joshua?
Sasa wewe unafikiri Israel walimchukua huyo Joshua? Ili iweje
Kwani mwili wa Joshua ni wa kwanza kuripotiwa kupelekwa Gaza?
Unataka kutuambia kuwa haukuona yule msichana wa Kiisreli waliyemuua na kisha kumuweka kwenye Pick-up yao na alipofika Gaza wananchi wao kuanza kuu abuse huo mwili?
Wewe haujui kuwa hao watu wa Gaza wanamtumikia kaallah ambaye ndiye shetani mwenyewe.
Wewe unafikiri ni kwanini nchi zote za kiarabu hazitaki kuwakaribisha hao watu wa Gaza kama wakimbizi?
Tunasikia kuna shirika moja hapa TZ lilipeleka misaada huko Gaza, omba kazi uka voluntie huko ili uishi kidogo na hili jina lako la kikiristo ujionee mwenyewe, na tena ni Mwafrika mweusi. Ndiyo utajua hujui kuhusu hao wana wa shetani
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…