Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WaKamuuua wakambeba wakaondoka nae gaza.uenda walikuwa wana mfahamu,ndo maana mpaka maiti yake wakaondoka nayo.joshua alikuwa mtu wa namna gani.isije ikawa kama vijana wa Kenya na tanzania wanaokwenda Somalia kujiunga na al shabab kimya kimyaIsraeli siku ya tukio tarehe 7.10.2023
LINGANISHENI HIZI PICHA AFU MJIONE AIBU NINYI WENYEWE; View attachment 2848562View attachment 2848563
Anaweza kusomea kilimo na akapiga deiwaka ya jeshi vilevile.
Mbona kuna Charlie mwingine alienda kusoma US ila yuko jeshini,anauza sura sana Insta.
Kuna yule mwingine aliyekua anahimiza green card,
Anajiita kanali mstaafu US Navy huku hajawai hata kuvaa gwanda.
Ukimpa bunduki alenge shabaha anza kukimbia
Nina uhakika wa asilimia zaidi ya 90 Hamas hawana huo mwili wa Joshua.Hamas hawezi kuuwa foreign hili iweje Magaidi wa Israel wamemua wenyewe wameona ngoja watengeneze cinema kuwachafua Hamas.
Wale mateka wao watatu walishasema wameokota miili yao kumbe Hamas walikuwa wanawarekodi. Waliwambia hapa tupo kwenye mapambano mnaweza kufa cha kufanya hapa tunawaachia mjisalimishe shikeni vitambaa vyeupe nyanyueni mikono njoo haya nendeni hawakufika mbali walichezea riaasi za kutosha mmoja akawa analia huku anaongea kiHebrew majuzi tena wameuwa wanawake wawili Kanisa alikuwa anachungulia dirisha kulizwa wanasema walikuwa wafuasi wa Hamas.
Mtajua ukweli muda si mrefu Hamas kama watakuwa na huo mwili wa Joshua tatizo watu wanajifanya wana uchungu kumbe unafiki wakijua kama kauliwa na Israel hamna hata mmoja atanyanyua mdomo wake humu nawajua vizuri Waisrael weusi wa JF.
Maswali yangu yapo wazi sana mkuu uneamua tu kutonielewa anyway siyo kesi mkuu.tusubiri labda huko mbele tutapata taarifa nyingineUmeona lakini jamaa alivyokua anajibu maswali yangu Kwa weledi, ufasaha na bila mihemko? Vyanzo vya taarifa za majibu yake ameviweka hapa.
Taarifa kwamba miongoni mwa mateka waliotekwa na Hamasi, Kuna watanzania wawili, ameweka hapa, taarifa kwamba mmoja amefariki, ameviweka hapa.
Hii vita imezongwa na upotoshaji, hisia, chuki na udanganyifu mwingi sana kutegemea mtu anashabikia upande upi wakati hapa tunaongelea uhai wa watu.
Ni jambo ambalo najizuia sana kulijadili Kwa mihemko, hata kubishana sana kuhusu haya mambo ukizingatia Kuna watu lazima waingizie udini kwenye huu mjadala.
Kama hauna taarifa sahihi za kuhusu utekwaji na mauaji huyu jamaa, kupata majibu ya maswali yako ni ngumu sana.
Haujawezathibitisha kwamba jamaa aliywawa 07 October au alitekwa wakaenda nae Gaza. Na Hamas hawajakanusha kuwa na mwili wa huyo jamaa Kwa vile taarifa za awali, alikua miongoni mwa mateka. Na hawajakanusha kwamba wamemuua au amejeruhiwa na Jeshi la Israel. Kumbuka hili jeshi limewaua raia wao wenyewe ( Kwa mujibu wao ni Bahati mbaya) na hili jambo limezidi kuchochea ghadhabu ya waisrael dhidi ya waziri Mkuu. Wangeweka wazi kwamba mtanzania mwenzetu nae alikua miongoni mwa waliouawa kwenye mashambulio kati Yao na Hamas.
Si unataarifa hadi Leo milipukon ya September 11 huko Marekani bado imeacha maswali mengi yasiyo na majibu?
Cha msingi serikali yetu inatakiwa kutoa taarifa za kilichotokea kutuliza hii tafran.
Nimekuelewa sana..S
Serekali nyingi za afrika hazina uchungu wala kuthamini raia wake.
Na hili sio kosa lao, ni kwa sababu nyingi hazina nguvu wala usemi wowote zikiwa katika anga za kimataifa.
jaribu kubadili taswira na tuwavishe hawa raia wa 2 wa Tanzania Uraia wa marekani, ufaransa, ujerumani au uingereza.
Nadhani jibu unalo.
Inashangaza alikua ana u special gani mpaka waamue kuchukua maiti yake.WaKamuuua wakambeba wakaondoka nae gaza.uenda walikuwa wana mfahamu,ndo maana mpaka maiti yake wakaondoka nayo.joshua alikuwa mtu wa namna gani.isije ikawa kama vijana wa Kenya na tanzania wanaokwenda Somalia kujiunga na al shabab kimya kimya
Siyo Mtanzania tena daaah."Black lives matter" hii ndio kampeni iliyolengwa na Israeli baada ya kumuua joshua.
Asante kwa kushiriki. Wahi chit-chatHakuna maswali hapo utoto tu
Ndio ujuwe kuwa hawa jamaa ni hatari. Wamemuua joshua ili kusambaza kampeni ya "Black lives matter" kutafuta uungwaji mkono na matendo yao dhidi ya wapalestina.Siyo Mtanzania tena daaah.
🤣🤣🤣🤣We ni mtoto? Unataka mtu akuambie mwili haujahifadhiwa umetupwa au umeoza ? Hayo ni maswali ya mtu asiyejua mazingira ya vita . Ipo miili hairudi na ipo inayoweza kurudi ndio vita hiyo
We huwafahamu wayahudi, kwenye jeshi la Israel kuna askari wengi tu hadi marubani wana mafunzo ya kuongea kiarabu vizuri, acha kuongea vizuri, wanazungumza kwa lafudhi ya nchi husika, wanaweza ongea kiarabu chenye lafudhi ya Saudia, Syria, Palestine n.k, kwenye jeshi la Israel kuna askari wengi tu ambao ni arabs jews, kwenye operation yao kwenda kupiga kinu cha nuclear Iraq.hivi kwa akili yako hilo ni swali la kutuuliza sisi au kuwauliza Israel, si uende ukawaulize waliomuua? ukiangalia hii clip ya October 7, unaona hawa wanaoonekana ni wanajeshi wa Israel? si hamas hawa? sikiliza hata wanavyoongea, wanaongea kiarabu.https://twitter.com/i/status/1736521697505824796View attachment 2848961
israel waseme ukweli.na watuambie mwenye ile video ni nani.na kwanini video haijaonesha hamas wakibeba maiti ya Joshua na kuondoka nayo.Inashangaza alikua ana u special gani mpaka waamue kuchukua maiti yake.
siku chache mlipost miili ya wafu iliyotekwa na hamas , pia mlipost jeshi la idf kukataa kubadilishana miili ya marehem ya waisrael kwa wafungwa wa kipalestina , leo mnakuja na maswali , hapo mjione mwingine mnavyokuwa wapumbav kubisha tu lolote linalowakera na kuunga mkono lolote linalowafurahisha bila kujali ukwelHabari wana jukwaa la kimataifa. Hii ndio habari iliyotangazwa leo saa 2 usiku katika taarifa ya habari Azam. Msemaji wa serikali ya israeli ameutangazia umma wa watanzania kuwa mwili wa Joshua mollel aliyetekwa na kundi la Hamas tarehe 7.10.2023 huko Israeli ulichukuliwa mateka na kundi hilo na kwamba kwa sasa eti mwili huo upo Gaza mikononi mwa Hamas.
Nina maswali machache sana ya kuuliza kwasasa.
1. Hamas waliwazaje kuuteka mwili wa mtu ambaye tayari wameshamuua ndani ya israeli na kumpeleka Gaza huyu mtu ana umuhimu gani sana kwenye hii vita? Tuzingatie waliuliwa 1400 siku hiyo
2. Tunavyofahamu mpaka sasa Gaza hakuna umeme , hospitali zimebomolewa je Hamas watakua wameuweka wapi mwili wa ndugu yetu ikizingatiwa leo ni siku zaidi ya 70 tangu auwawe? Je mwili bado upo?
3.kwanini Hamas katika taarifa zao za mateka waliokufa wakishikiliwa hawajamtaja Joshua?
Jamani naomba ndugu zangu nauliza haya maswali kwa nia njema tu sijaleta vita.najua watanzania hatupendi kuulizwa maswali lakini tujitahidi kufikiria mambo kwa kina hasa tunapokuwa ni watu wa kupokea taarifa kutoka nje.
Karibuni kwa mjadala wa kistaarabu. Moderators na Maxence Melo mkuu naomba wasifute uzi wangu tujadili tu mbona sijavunja sheria yeyote?
Ahsante.
juz walipost kuwa hamas waliomba kubadilishana wafungwa wa kipalestina kwa miili ya waisrael , leo wanajiuliza eti wanatunzia wap , hawa waislam ttzo kbsMsemaji wa Hamas aliweka wazi mauaji ya raia wa nchi zingine waliowateka ni Salam kwao kwamba kumpeleka raia wao Israel ni hatari. Na wao wapo vitani na Kila mshirika wa Israel.
Sasa kama walimteka na amafariki wakiwa nae, unataka Israel waseme Wana mwili wake?
Kumbuka kama alikua ameenda Israel Kwa kufuata taratibu zote, serikali yetu itataka kujua Nini kimejiri na mwili wake uko wapi. Lazima Israel watolee ufafanuzi.
Wewe unachopinga ni kipi, kwamba hajatekwa na Hamas, hajauwawa na Hamas au mwili wake haupo mikononi mwa Hamas?
huyu huyu mtoa majuz walipost kuwa hamas walitaka wabadilishane maiti za waisrael kwa wafungwa wa kipalestina , haya maswali yake alipaswa kujiuliza kweny ile post ila ndo alikuwa mshabiki mzur wa maiti zile , sa hv ndo kakumbuka kuwa gaza haina umemeNa wewe umejibu maswali au umejazia?
ila si majuz mlipost hamas walitaka kubadilishana miili ya marehem wa kiisrael kwa wafungwa kipalestina , je haya hamkuyajua hapo awali ?Mwili hauozi jamaa wa kipekee sn
Na waislam wanavyopenda kuwahi kufukia maiti ,Eti wanaushikilia, Nani apigane vitu Huku anng'ang'anie mzoga ?