Msemaji Simba kuna Majini wazuri na wabaya Simba mnatumia yapi?

Yanga Kuna shida mahali.

Niyonzima, walichoma jezi za Jina lake.

Fei Toto, walimlisha Ugali na Sukari

Mayele, wanaendelea kumtupia Maji ili yamroge asiweze kufunga magori.

Na nukuu

"Ni washabiki wa Yanga nawajua vizuri"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
waswahili ni watu wabaya sana wamemuingiza cha kike mayele,naye kaingia atake asitake atachuchumaa umbwa yule
 
Swali la kujiuliza je msemaji wa Simba anatumia majini wazuri, kama kama msemaji anaishi kwa itikadi hizo za kuamini kwenye majini wazuri na vipi je timu nzima ya Simba.
Habari inayotembea ni majini ya viongozi na washabiki wa Yanga wanayomtumia Mayele. Hiyo ya msemaji wa Simba haina mashiko, isituvurugie mastory ya mjini kwa sasa 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…