Msemaji wa HAMAS: Hatamu za udhibiti wa mapigano na adui mzayuni ziko mikononi mwa wanajihadi

Hawa wapuuzi usikute wenyewe wako bize kupiga punyeto wakiwahasa wasio na akili kwenda kujilipua huku wakiwacheka.
 
Hawa wapuuzi usikute wenyewe wako bize kupiga punyeto wakiwahasa wasio na akili kwenda kujilipua huku wakiwacheka.
We tabia yako mbishi hata ukiambiwa Israel anapokea cha moto utabisha waulize leo walio ingia wamevaa nguo za kijeshi za Israel ni watu gani watakuambia ni Amerika, Ukraine, Jerumani, Italian wamepokea kipigo vifaru 2 na 12 Army vehicle walitaka kuonyesha film ya Hollywood imekula kwao.

Wanajeshi wa Israel wanaogopa kuingia Gaza hao wa Amerika, Ukraine, Germany, Italy, wakajidai wamba ili wawaonyesha askari ws Israel wao mbona wanaingia na kutoka 😄
 
Kama hujawahi kuhusika na vita,na medani za kivita huzijui,ni ngumu kuelewa kinachoendelea gaza.
 
Tatizo sio nyenzo,tatizo piga nikupige kitaa, Israel haiwezi🤣
Kama hawezi Gaza ameingiaje ?
Nadhani tuache ushabiki.
Vita siyo imani, imani ni dini, unaweza pigana.vita ya kiimani lakini lazima uwe na ujuzi, silaha, utaweza kushinda vita ,vingenevyo unachelewesha kushindwa tu
 
Malaria 2 unanikumbusha member wa zamani aliyejiita Malaria sugu
 
Sasa hapa tutaona Kama Hamas wataweza kuvumilia kupambana na majeshi ya wayahudi feki wa kizungu kwa mda mrefu wakiwa kwenye blocked.
Wayahudi feki mkiwaweza basi wayahudi original ndio kaburi lenu.
Au hawa original mnaujua mziki wao?
Kazi ndio imeanza tusisikie kilele za kugugumia kuomba huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili yako ilivyo finyu, unataka kutudanganya kwamba Waarab wanashinda hii vita na vipigo vyote hivi wanavyovipata?
 
Sawa, ila mpaka sasa kuna Wapalestina na Waisrael wangapi wamefariki kwenye hii vita....fuatilia takwimu ndipo utajuwa nani anabamizwa!
Tukiwambia nyie vita mnadhani wangapi wamekufa ndio mana mnakimbilia kuwauwa watoto na wanawake na wagonjwa hospital vita ni kila kitu cha kwanza hasara ya nchi, watu, Siasa saa Israel kwanza anaficha watu wake wangapi wamekufa sa huwezi kuja na data za uhakika hayo ya politics na economics Israel kala hasara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…